NYUMBANI KITAIFA

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BIASHARA

Ulimwengu wa habari.

MATAIFA MENGINE

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BURUDANI

Ulimwengu wa habari.

MAAJABU DUNIANI

Ulimwengu wa habari.

Saturday, November 26, 2016

SIKILIZA NA UPAKUE BRAND NEW *AUDIO* YA ASHANTI FT JA RULE – HELPLESS

Baada ya kupita kwa miaka mingi tangu Ashanti na Ja Rule waliposhirikiana kufanya wimbo wa pamoja – sasa wawili hao wamekutana tena kwenye wimbo mpya ‘Helpless’ wa Ashanti aliomshirikisha Ja Rule. Usikilize hapa chini....

RAIS ZA ZAMANI WA CUBA, FIDEL CASTRO AFARIKI DUNIA

RAIS wa zamani wa Cuba na kiongozi wa mapinduzi ya kikomunisti, Fidel Castro amefariki akiwa na umri wa miaka 90, mdogo wake Raul ametangaza. Amefariki usiku wa saa nne na dakika 22, kwa mujibu wa Rais Raul Castro. Fidel Castro aliiongoza Cuba kama nchi ya chama kimoja kwa takriban miaka 50 kabla ya Raul kushika madaraka mwaka 2008. Mazishi yake yanafanyika Jumamosi hii kwa mwili wake kuchomwa moto. Kutakuwepo na siku kadhaa za maombolezo ya...

Friday, November 25, 2016

RAIS MAGUFULI - 'WATU KIBAO WAMEKIMBIA ZOEZI LA UHAKIKI WA VYETI'

Na Emmy Mwaipopo RAIS Dkt John Pombe Magufuli amesema zoezi la uhakiki wa vyeti litaendelea nchini na kudai kuwa wakati limeanza wengi walikimbia. Dkt Magufuli aliyasema hayo jana wakati wa Mahafali ya 31 ya Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT) yaliyofanyika Kampasi Kuu iliyopo Bungo, wilayani Kibaha, Pwani. “Wakubwa wenu wa section kule ambapo mnapangiwa kazi wahakikishe wanawapa promosheni mara moja kwasababu kama ni elimu mmeshapata wasiwatafutie...

MWANA FA AONYA KUHUSU BIFU ZINAZOENDELEA BONGO ‘TUNAKOELEKEA TUTATOANA MACHO’

MWANA FA ameonya kuhusu bifu zinazoendelea kwenye muziki wa Bongo Flava kwamba zinakoelekea, watu wanaweza kufanyiana vitu vya hatari zaidi. Akiongea kwenye kipindi cha 360 cha Clouds TV leo, FA amesema busara zinahitajika kumaliza tofauti baina ya wasanii wanaohusika kwenye bifu hizo. “Tufike mahali kwamba tujiwekee mipaka kama binadamu kwamba hivi vitu ambavyo tunaambiana kama ungekuwa unaambiwa wewe na familia yako ingekuwa sawa? Maana yake...

HATIMAYE MOHAMMED HUSSEIN AMALIZANA NA KLABU YA SIMBA SC

MCHEZAJI wa klabu ya Simba SC ambaye anacheza nafasi ya beki wa pembeni Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’ hatiamye amesaini mkataba mpya wa miaka miwili na nusu katika klabu ya Simba ambao utamalizika mwaka 2019. Mchezaji Mohammed Hussein akisaini mkataba mpya akiwa na Rais wa klabu ya Simba Evans Ave...

CALISAH - 'NIPO TAYARI KUFUNGWA ENDAPO ITAJULIKANA NILISAMBAZA VIDEO YA KIMAHABA NA WEMA SEPETU'

CALISAH ameyasema hayo alipokuwa akijibu maswali katika kipindi cha Weekend Gossip kinachorushwa na kituo cha runinga cha TV1 siku ya jumamosi (19 Nov, 2016). Katika kipindi hicho kinachoruka hewani kila jumamosi saa 3:30 usiku, mtangazaji Mimi Mars alimuuliza kuhusu mkanda wa video uliosambaa unaomuonesha akiwa katika wimbi zito la mahaba na mwanadada huyo maarufu nchini wakinyonyana ndimi. ''We do have pictures me and her, and those pictures...

SERIKALI YATOA TAHADHARI JUU YA UGONJWA WA HOMA YA MANJANO NA DALILI ZAKE

WANANCHI wametakiwa kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa wa homa ya manjano huku akisema licha ya ugonjwa kutoingia nchini, wananchi wanapaswa kupata chanjo ili kuepuka homa hiyo. Akizungumza jijini Dar es salaam, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ambapo amesema kuwa wananchi wanatakiwa kupata chanjo ili kuepuka kupata ugonjwa huo. “Ugonjwa huu wa homa ya manjano bado haujaingia nchini kwahiyo kwao ni motisha...

MSIKILIZE RAIS MAGUFULI AKIONGEA MUBASHARA NA MAKONDA KWENYE MKUTANO MBELE YA WANANCHI *AUDIO*

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amempigia simu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na kuongea naye ‘live’ akiwa katika mkutano wa ziara yake ya wilaya ya Ubungo ya kusikiliza changamoto za wananchi pamoja na kuzitatua. Makonda alimpigia simu mkuu huyo wa nchi ili kuomba ufafanuzi juu ya changamoto za wananchi wa Ubungo hasahasa kwa wale ambao wanabomolewa nyumba kutoka na utanuzi wa barabara....

Tuesday, November 22, 2016

SIKILIZA BRAND NEW MUSIC TOKA KWA MWANA FA FT VANESSA MDEE – DUME SURUALI

BAADA ya kufanya vizuri na ngoma ya ‘Asanteni kwa Kuja”, Mwana FA ameachia ngoma yake mpya, ‘Dume Suruali’ aliyomshirikisha Vee Money. Producer ni Daxo Chali. " class="mkitoWidgets" frameborder="0" height="160px" id="mkitoWidget-18271-1263946" scrolling="no" src="https://mkito.com/index.php/widget/view/?wid=18271&bid=1263946&version=2" style="background-color: white; border-width: 0px; line-height: 20px; margin: 0px; max-width: 100%;...

CHIKUNE WA NAMIBIA AMTAJA MSANII WA BONGO FLEVA ALIYEFANYA NAYE KOLABO

MSANII Chikune kutoka Namibia amethibitisha kufanya kolabo na msanii wa Bongo Fleva. Muimbaji huyo ambaye amefanikiwa kushinda tuzo ya Afrimma mwaka huu ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshafanya kolabo na msanii mmoja wa kike kutoka Tanzania ambaye anatarajia kupata connection za huku. “Kwa kuanzia nimeshafanya kolabo na Kleyah. Ni msanii wa pekee sana na anaangalia zaidi biashara na naamini ana nafasi kubwa ya kwenda sambamba kwenye tasnia ya...

CLEMENT SANGA ATHIBITISHA MZAMBIA GEORGE LWANDAMINA NDIYE KOCHA MPYA

MAKAMU mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Clement Sanga amethibitisha kuwa Mzambia George Lwandamina ndiye kocha mpya wa timu hiyo akichukua mikoba ya Mholanzi,Hans Van Pluijm. Lwandamina,53,ambaye alikuwa ni kocha wa Zesco United ya Zambia, ataanza kukinoa rasmi kikosi hicho cha jangwani katika mzunguko wa pili wa ligi kuu Tanzania Bara. Pia Sanga amesema kuwa Hans Van Pluijm ataendelea kuwa klabuni hapo kama Mkurugenzi wa benchi la Ufundi na kocha...

MADHARA YA CHAI NA KAHAWA KIAFYA

Kafeina ni nini?: 1. Kafeina ni madawa ya kulevya kundi la ‘Stimulants drugs’. Utashangaa. Habari ndiyo hiyo. Hii ndiyo sababu kwa mtu aliyezoea kunywa chai hii kila siku au kahawa, siku asipokunywa kichwa humuuma, ni kwa sababu amekuwa mtegemezi au teja wa kafeina. Kafeina ni kiungo mhimu karibu katika soda zote zenye rangi nyeusi; Coca-cola, Pepsi, Sayona nyeusi, Azam cola na kadharika. Kafeina huongezwa pia katika Red bull, Malta na...

THE GAME AKUMBANA NA RUNGU LA MAHAKAMA

MAHAKAMA imemshika pabaya The Game – imemuamuru kumlipa msichana aliyemnyanyasa kijinsia dola milioni 7. The Game alidaiwa kumnyanyasa msichana huyo ambaye ni mwanamitindo anayefahamika kwa jina la Priscilla Rainey kupitia kipindi chake cha runinga mwaka jana. Priscilla Rainey anayedaiwa kudhalilishwa kijinsia na The Game Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa mahakama imemuamuru rapper huyo kulipa kiasi cha dola 7.13 milioni. Miezi tisa...

HANS VAN PLUIJM AKUTANA NA RUNGU LA TFF

KOCHA wa Yanga, Hans van Pluijm ambaye saivi amepata cheo na kuwa mkurugenzi wa Michezo wa klabu hiyo, amepigwa faini ya sh. 500,000 na kufungiwa mechi tatu baada ya Kamati ya Saa 72 ya TFF kukaa na kubaini ana makosa anadaiwa kuwazonga waamuzi na kuwatolea maneno ya kashfa. Pia baada ya mechi kumalizika alikwenda kwenye chumba cha waamuzi na kuwatolea maneno ya kashfa. Adhabu hiyo ni kwa uzingativu wa Kanuni ya 40(1). Klabu ya Yanga pia imepigwa...

MTV BASE YATOA ORODHA YA RAPPERS 10 WAKALI BONGO 2016

KITUO cha runinga cha MTV Base kimeyataja majina ya wasanii kumi wa muziki wa Hip Hop kutoka Tanzania wanaofanya vizuri kwa sasa nchini. Namba moja ya orodha hiyo imeshikiliwa na rapper Fareed Kubanda aka Fid Q huku kundi la Weusi likifanikiwa kuingiza wasanii watatu kwenye ordha hiyo. Tazama orodha kamili hapa chini. 1)Fid Q 2)Joh Makini 3)AY 4)Mwana FA 5)ROMA 6)Mr. Blue 7)Nick wa Pili 8)G Nako 9)Prof Jay 10)Chindo M...

AUGUST ALSINA AUMIZWA NA TUKIO LA KUZIMIWA MIC KWENYE TUZO ZA AMA

MUIMBAJI wa Marekani, August Alsina ameumizwa vikali na tukio la kuzimiwa mic wakati akitumbuiza kwenye tuzo za AMAs mwishoni mwa wiki. Katika post ndefu aliyoiweka kwenye Instagram, Alsina amesema kitendo hicho kimempa hofu zaidi kuhusiana na career yake. Akiweka picha hiyo juu, msanii huyo aliandika: Woke up to this message.. This Has bothered my spirit for the longest time , I’m more confused than yesterday.Is it because I’m new and that...

NISHER AKONGA MIOYO YA WATZ KATIKA FILAMU *VIDEO*

NISHER alikaa kimya kwa muda na kupotea kiasi kwenye fani ya uongozaji wa video za muziki. Na sasa amerudi, lakini akiwa amekuja na kitu cha ziada kuongezea katika catalog ya kazi zake. Siku chache zilizopita, muongozaji huyo mwenye makazi yake jijini Arusha alitoa filamu yake fupi aliyoipa jina ‘Alex.’ Inaelezea kisa cha kibarua mwenye jina hilo ambaye ana familia yenye mke na mtoto mmoja. Lakini kutokana na kutegemea kibarua cha ujenzi...

MAUA SAMA - 'KUONDOKA KWA RUBY HAKUJAIUA PROJECT YA BUTTERFLY'

MAUA SAMA amedai kuwa licha ya kuondoka kwa Ruby THT, kundi lao la Butterfly halijafa. Maua ametoa taarifa hizo kupitia kipindi cha Vibe la Kitaa cha ABM Radio ya Dodoma kinachoendeshwa na Dj Rodger. Amedai kuwa kwa sasa kila member anafanya kazi zake za solo na amesema hivi karibuni kulikuwa na mambo mengi ikiwemo Fiesta. “Project bado ipo hai na inaendelea na wakati wa msimu wa Fiesta tulikuwa tunaendelea kuipa promo kama kawaida na kulikuwa...

SABABU ZA MAKAMPUNI MAKUBWA YA TEKNOLOJIA KUNUNUA MAKAMPUNI MADOGO/YANAYOCHIPUKIA

‘WhatsApp yanunuliwa kwa dola za kimarekani bilioni 19’, ’Facebook yainunua Instagram kwa shillingi za kitanzania trillioni…’ ni miongoni mwa vichwa vya habari ambavyo si vigeni sana kwenye macho yetu, kampuni fulani kununua kampuni nyingine. Ni jambo la kawaida kwenye ulimwengu wa teknolojia lakini unajua sababu kuu zinachofanya kampuni hizi kumwaga mabilioni ya pesa zote hizo? (Tena kwenye Apps zinazopatikana BUREE kwenye app stores?!Natania...

ANGALIA BRAND NEW *VIDEO* YA BRITNEY SPEARS FT. TINASHE – SLUMBER PARTY

...

OLE SENDEKA - 'TUNAHESHIMU MAAMUZI YA MOSES MACHALI KUHAMIA CCM'

BAADA ya kutolewa taarifa ya aliyekuwa Mbunge wa zamani wa Kasulu Mjini, Moses Machali  kuhusu kuunga mkono serikali ya awamu ya tano hivyo na kujiunga na Chama cha Mapinduzi, Msemaji wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ole Sendeka amezungumzia uamuzi huo. Haya ndio machache aliyoyatoa Msemaji wa Chama cha Mapinduzi baada Machali kuhamia CCM akitokea chama cha ACT. “Sisi kama chama cha mapinduzi tunaheshimu uamuzi wake na hatua ya pili kumpokea...

JERMAIN DEFOE AFIKISHA IDADI YA MABAO 150

MCHEZAJI wa klabu ya Sunderland, Jermain Defoe ameungana na watabe wengine wa soka ambao wamefikisha idadi ya mabao 150 kwenye historia ya mashindano ya ligi kuu England. Siku ya November 19 Defoe amekuwa ni mchezaji wa 8 kuungana na wengine kwenye historia hii mara baada ya kuifungia klabu yake ya Sunderland FC bao moja kwenye ushindi wa mabao 3 dhidi ya klabu ya Hull City. Hii ndo idadi ya wafungaji wengine...

RAY J AMDISS KIM KARDASHIAN KWENYE WIMBO WAKE MPYA ‘FAMOUS’

MUIMBAJI wa RnB Marekani, Ray J amemdiss Kim Kardashian kwenye wimbo wake mpya ‘Famous (Kim Kardashian Diss)’ aliomshirikisha Chris Brown. Kwenye wimbo huo Ray J amerap, “She fucked me for fame, look in her eyes. She was the first one to sign on the line / She was the real one to plan it all out / Look at the family, they walk around proud / All because she had my dick in her mouth.” Naye Chris amepigilia msumari kwenye baadhi ya mashairi ya...

ZILIZOSOMWA ZAIDI