WENGI wanasema ni moja ya hatua katika kuutangaza utamaduni na mavazi ya kiafrika kwani wasanii wakubwa kama hawa wanapovaa mavazi yao huwa ni chachu kwa mashabiki wake kuyavaa, Mwanakaka Chriss Breeezy ameonekana kutupia Kiafrika afrika kama anavyoonekana pichani hapo juu, nafikiri haya ni matunda ya wasanii wa kiafrika kuwa na uhusiano wa karibu na wasanii wakubwa kama Wiz Kid ambaye kwa sasa ana-hang out sana tu na kina Chriss na Rihanna pia.
Safi Chriss angalau unapata fleva ya kuwa na asili ya Kiafrika…!!!Friday, July 18, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Matija Nastasic (Manchester City and Serbia) Gareth Bale (Wales and Real Madrid) Daniel Agger (Liverpool and Denmark) Zlatan Ib...
-
Pichani: Mike Sonko na Rachel Shebesh HIZI ni baadhi ya picha za Sonko na Shebesh. Mike Sonko alisema zilitengenezwa nakundi la...
-
KUPENDEZA ni vile mtu unavyojipanga katika mavazi, na moja ya mavazi mhimu kwa ukanda huu wa Afrika ni vazi la kitenge ambapo naweza se...
-
RECHO: Hapa ndipo yalipoanza kuandaliwa na kuzikwa kwenye makazi yake mapya mbinguni. Shimo dogo ni kaburi ya mtoto wake aliyefariki muda...
-
TIMU ya taifa Intamba Murugamba kutoka Burundi inajiandaa vilivyo kwa wiki ya pili sasa katika mechi za mtoano ya kufudhu CAN 2017 nchin...
0 comments:
Post a Comment