Tuesday, November 22, 2016

JERMAIN DEFOE AFIKISHA IDADI YA MABAO 150

MCHEZAJI wa klabu ya Sunderland, Jermain Defoe ameungana na watabe wengine wa soka ambao wamefikisha idadi ya mabao 150 kwenye historia ya mashindano ya ligi kuu England.
Siku ya November 19 Defoe amekuwa ni mchezaji wa 8 kuungana na wengine kwenye historia hii mara baada ya kuifungia klabu yake ya Sunderland FC bao moja kwenye ushindi wa mabao 3 dhidi ya klabu ya Hull City.
Hii ndo idadi ya wafungaji wengine

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI