Friday, November 25, 2016

MSIKILIZE RAIS MAGUFULI AKIONGEA MUBASHARA NA MAKONDA KWENYE MKUTANO MBELE YA WANANCHI *AUDIO*

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amempigia simu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na kuongea naye ‘live’ akiwa katika mkutano wa ziara yake ya wilaya ya Ubungo ya kusikiliza changamoto za wananchi pamoja na kuzitatua.
Makonda alimpigia simu mkuu huyo wa nchi ili kuomba ufafanuzi juu ya changamoto za wananchi wa Ubungo hasahasa kwa wale ambao wanabomolewa nyumba kutoka na utanuzi wa barabara.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI