Wednesday, December 31, 2014

KUMBE T.B JOSHUA ALITABIRI KUPOTEA KWA NDEGE YA AIRASIA QZ8501 YA INDONESIA... USHAHIDI WA VIDEO HUU HAPA!


NABII T.B. Joshua mapema leo kupitia YouTube channel yake inayojulikana kwa jina la Emmanuel TV ametoa video akionyesha utabiri wake kuhusu kupotea kwa ndege ya indonesia  AirAsia  8501 kwenye Video hiyo haya ni baadhi ya maneno yake na nukuu 


"I have a message for the nation, Indonesia,” Joshua is seen telling congregants in the video. “When it comes to this disaster issue, I don’t want to mention it,”

“It looks so nasty to me to mention - a situation where it will cost a lot of lives, suddenly,” he went on. “This is a crash. Why should this continue to happen there?”

Na kweli ilipofika jumapili december 28 2014, ndege ya AirAsia iliyokuwa imebeba abiria 162 ilipoteza mawasiliano kutoka kwenye chumba cha mawasiliano ambapo ndege iyo ilikuwa ikielekea Singapore.

“We pray that God would strengthen the friends and family members of all those involved in this tragic incident,” Joshua wrote at the end of the YouTube clip.

T.B. Joshua ametabiri matukio makubwa mawili moja likiwa hili la ndege ya Indonesia na lile la Flight MH17 ambayo ilikuwa ikitokea Ukraine kuelekea Russia, Video yake akitabiri iko hapa chini.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI