Saturday, December 17, 2016

MANENO ALIYO SEMA AUBAMEYANG KUHUSU KUJIUNGA NA REAL MADRID

MCHEZAJI wa klabu ya Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang ameweka wazi kuwa kwa wakati huu hana mpango wowote wa kujiunga na klabu ya soka ya Real Madrid.
Aubameyang ambaye ni raia wa Gabon, amesema kwamba ataendelea kusalia klabuni kwake Dortmund mpaka mwisho wa mkataba aliousaini alisema alipo ongea na waandishi wa habari.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI