Wednesday, December 31, 2014

IFAHAMU NYUMBA YA KIFAHARI ANAYOIMILIKI MSANII LADY JAY DEE, HUMO NDANI NI SHIDAAAAH.. *PICHAZ*

LADY jay dee ni msanii mkongwe sana na mwenye maendeleo makubwa pia ameweza kulinda heshima yake tangu kipindi anaanza mpaka hii leo,
muziki umeweza kumpatia mafanikio makubwa ikiwemo kupata tuzo kibao kimataifa na kimataifa,
mbali na hilo pia jay dee anamiliki band inayoitwa machozi bendi, naa pia mgahawa wa kisasa unaoitwa nyumbani lounge, hii leo tunkuletea exclusive picha ya nyumba ya kifahari anakokaa mwanadada huyo,
Picha zote ziko hapa shuka nazo…..



0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI