
MWANAMUZIKI Nazizi Kutoka Kenya Ameshangazi Wengi Baada ya Kufanikiwa kupunguza mwili wake kwa kiasi cha wengi kuto amini kama ni yeye, Mwanamuziki huyo kabla ya hapo alivyo sasa alikuwa ni Bonge nyanya yaani mnene kupindukia, lakini siku za karibuni mwanamuziki huyo ameingia Gym na Kufanikiwa kupunguza mwili wake kwa kiasi kikubwa sana,
Artist and music sensation Nazizi has made all our jaws drop to the floor, as we get busy picking our jaws...