Saturday, January 31, 2015

NAZIZI AFANYA MAAJABU: AJIKONDESHA NA KUWA MREMBO WA HAJA UKIMUONA HUTOAMINI..MCHEKI HAPA!!!

MWANAMUZIKI Nazizi Kutoka Kenya Ameshangazi Wengi Baada ya Kufanikiwa kupunguza mwili wake kwa kiasi cha wengi kuto amini kama ni yeye, Mwanamuziki huyo kabla ya hapo alivyo sasa alikuwa ni Bonge nyanya yaani mnene kupindukia, lakini siku za karibuni mwanamuziki huyo ameingia Gym na Kufanikiwa kupunguza mwili wake kwa kiasi kikubwa sana,
Artist and music sensation Nazizi has made all our jaws drop to the floor, as we get busy picking our jaws from the floor and getting reanimated from our shock, lets share the shock with you too, lets see if you handle the jaw-drop. Damn this is like an RKO from nowhere! She has literally stunned us.
 Now look at That!

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI