Sunday, February 1, 2015

MCHEKI DIAMOND PLATNUMZ NA ZARI 'THE BOSS LADY' NDANI YA SONGEA *PICHAZ*

MFALME wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' tayari yupo katika Mji wa Songea mkoani Ruvuma akiwa na mpenzi wake Zarinah Hassan 'The Boss Lady' tayari kwa ajili ya shoo itakayosindikiza hafla ya Chama cha Mapinduzi (CCM) leo katika Uwanja wa Majimaji.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI