Saturday, January 24, 2015

'I HATE MY WIFE' FILAMU ILIYOMKOROGA SHAMSA FORD

MARA nyingi humtokea mtu yoyote ambaye anafanya kazi fulani hata kama kaizoea kiasi gani lakini kuna kipindi inafika anakutana na ugumu wa kazi hiyo anayoifanya.
Shamsa Ford kutoka kiwanda cha filamu Tanzania amekubali kutuambia kwake filamu ipi ilimpa ugumu wakati anaigiza>>’Filamu ya I hate my wife kwangu ilikua ngumu kidogo kwenye kucheza ambayo nilicheza na Rado na Jb’
Kwenye sentensi nyingine amesema>’Ugumu ulikuwepo pale nilipotakiwa kuigiza kama mchawi,kuna watu wengine walikua wananiogopa mtaani  wakawa wananiita mtaani Shakabula Shakabula’.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI