NYUMBANI KITAIFA

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BIASHARA

Ulimwengu wa habari.

MATAIFA MENGINE

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BURUDANI

Ulimwengu wa habari.

MAAJABU DUNIANI

Ulimwengu wa habari.

Friday, October 30, 2015

LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUSHINDWA, AJIBU TETESI JUU YAKE

Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema. Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo. Alisema kuwa ataendelea...

ZARI THE BOSS LADY AFANYA UAMUZI MGUMU KWA MWANAYE TIFFAH

Tiffah akiwa kwenye pozi. ******* NA HAMIDA HASSAN Zarinah Hassan a.k.a Mama Tiffah amechukua uamuzi mgumu wa kumvua mwanaye Tiffah ile dawa aliyokuwa amefungwa mkononi ‘hirizi’, hali iliyowafanya watu wengi wabakina vingi viulizo. Awali, Tiffah alivishwa hirizi hiyosiku chache baada ya kuzaliwa na Diamond akaizungumzia kuwa, ni utamaduni wa kawaida ambao kwa mila za Kibongo siyo tatizo.. KUONA ALIVYOMTOLEA  Hata hivyo, wakati Diamond...

MWANAFAMILIA ACHOMA MOTO NYUMBA YAO PEMBA

Nyumba ya familia, inayokaliwa na bibi Siajabu Adam Ali wa kijiji cha Minazini shehia ya Tibirinzi wilaya ya Chake chake Pemba, ambayo ilidaiwa kuchomwa na mdogo wake, Zahara Hamza Adam kutokana na ugomvi wao wa muda mrefu, nyumba hiyo iliteketea kila kitu, (Picha na Haji Nassor, Pemba). Sehemu ya ndani ya nyumba ya familia, inayokaliwa na bibi Siajabu Adam Ali na watoto wake wawili, kijiji cha Minazini shehia ya Tibirinzi wilaya...

WASANII BUNGENI WATIMIZE WALIYOAHIDI - STEREO

Msanii Stereo amewataka wasanii waliofanikiwa kuchaguliwa kuingia Bungeni, wakatimize wajibu wao kwa kuyatekeleza yale waliyoyaahidi kipindi cha kampeni, na si kuyapuuzia baada ya ushindi. Stereo ameyasema hayo alipokuwa akiongea na Planet Bongo ya East Africa Radio, na kueleza kwamba iwapo hawatattekeleza wananchi hawatasita kuacha kuwachagua kipindi kingine. "Kikubwa ni kwamba wakatimize yale ambayo waliyaahidi, kwa sababu watu wamewapa ridhaa...

HISTORIA YA SAMIA SULUHU HASSAN

Image captHistoria ya Samia Suluhu Hassan wa CCM Lakini Bi Samia ni nani? Ushindi wa John Pombe Magufuli wa CCM umetoa fursa kwa Bi Samia Suluhu Hassani kuhudumia taifa hilo la Afrika Mashariki kama mwanamke wa kwanza kuwa makamu wa rais wa Tanzania Tangu kongamano la Chama tawala nchini Tanzania CCM kumteua Daktari John Pombe Magufuli Joseph kuwa mshika bendera wa CCM, Chama hicho kiliweka historia kwa kumteua Bi Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea...

DIAMOND PLATINUMZ APOST HIVI BAADA MHE. JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOTANGAZWA MSHINDI WA URAIS

Hiki hapa chini ndicho alichopost mtandaoni msanii wa kimataifa Diamond Platinu...

POLISI YAVAMIA KITUO CHA UKUSANYAJI TAARIFA CHA TACCEO NA KUKAMATA MAAFISA 36 PAMOJA NA VIFAA

Mtandao wa Asasi za Kiraia za Kuangalia chaguzi nchini jana ulipata pigo katika mwendelezo wake wa kukusanya taarifa juu ya mchakato wa uchaguzi mkuu wa 2015 kama unavyoendelea nchi nzima baada ya Jeshi la Polisi kuvamia kituo cha kukusanya taarifa kilichopo katika ofisi za Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu ofisi ya Mbezi Beach. Tukio hilo lisilo la kawaida lilitokea Majira ya saa nane mchana baada ya polisi kufika kituoni hapo na kuwaweka...

KANYE WEST AGEUKA KITUKO KWA GEORGE BUSH

Siku chache zimepita tangu tangu mwanamuziki na mwanamitindo nchini Marekani, kutangaza nia ya kugombea nafasi ya urais nchini humo, imeonekana kuwa kichekesho kwa baadhi ya watu. Inadaiwa kuwa Rais wa zamani wa Marekani, George W. Bush, ameangua kicheko kutokana na wazo la rapa Kanye West, kuwania urais wa Marekani mwaka 2020. Inadaiwa kuwa Bush, alikuwa akitoka kwenye mlo wa usiku Jijini Washington DC, ambapo alisimama kusaini picha kadhaa...

LOUIS VAN GAAL AJIBU MASHAMBULIZI YA PAUL SCHOLES

Louis van Gaal amjibu Paul Scholes Louis van Gaal amejibu mashambulizi kutoka kwa Paul Scholes kwamba Manchester United ni butu, kwa kusema: “Fimbo na mawe zitaumiza mifupa yangu lakini majina hayataniumiza!” Gwiji wa Old Trafford Scholes amelalamika kuhusu “ukosefu wa kujituma na ubunifu” akidai kwamba asingependa kuchezea kikosi cha United cha sasa ambacho mechi zake mbili za mwisho zilimalizika bila magoli. Van Gaal amesema atafanya...

CHINA YAFUTA SHERIA YA WANANDOA KUZAA MTOTO MMOJA, *SASA RUKSA WATOTO WAWILI*

CHINA yafuta sheria ya wanandoa kuzaa mtoto mmoja. Hatimaye China kupitia shirika la habari nchini humo la Xinhua imeamua kufuta sheria iliyodumu kwa miongo mingi iliyokuwa ikizitaka familia za nchi hiyo kutokuzaa mtoto zaidi ya mmoja ‘one-child policy’. Ambapo kwasasa wanandoa wameruhusiwa kuzaa watoto wawili ili kupunguza athari zinazoletwa na sheria ya mwaka 1979 ikiwa ni pamoja na kuzuia ongezeko la watoto milioni 400 na ongezeko kubwa...

MUIGIZAJI MOHAMED MWIKONGI 'FRANK' AFUNGUKA KUKOSA KITI CHA UBUNGE SEGEREA

Msanii wa filamu za kibongo Mohamed Mwikongi ‘Frank’ Baada ya wasanii mbalimbali kujitokea katika kingang’anyiro cha kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu na baadhi yao kufanikiwa kutwaa nafasi hizo na wengine kukosa, Frank afunguka kukosa kwake. Msanii huyo wa filamu nchini Tanzania, Mohamed Mwikongi ‘Frank’, alijitokeza kugombea Ubunge jimbo la Tabata Segerea, kupitia tiketi ya ACT-Wazalendo...

HAWA NDIO WABUNGE WATAKAOTINGA BUNGENI

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wabunge ambao wataingia Bungeni baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini kote Oktoba 25, 2015 ni kama ifuatavyo.  Idadi kubwa ya wabunge hao ni kutoka chama tawala cha CCM, ikifuatiwa na Chadema na CUF na vyama vingine kama NCCR-Mageuzi na ACT-Wazalendo. WABUNGE WALIOSHINDA KUPITIA CCM Jimbo la Busega (Raphael Chegeni), Nyamagana (Stanslaus Mabula), Msalala (Ezekiel Maige), Ngara (Alex Gashaza), Kigamboni...

ZILIZOSOMWA ZAIDI