NYUMBANI KITAIFA

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BIASHARA

Ulimwengu wa habari.

MATAIFA MENGINE

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BURUDANI

Ulimwengu wa habari.

MAAJABU DUNIANI

Ulimwengu wa habari.

Tuesday, March 31, 2015

MFAHAMU YULE MRIMBWENDE WA KIJAPAN ALIYEDAIWA KUWA SI MJAPANI *PICHAZ*

Mrimbwende wa japan ameleta kizaazaa baada ya watu kuanza kuhoji Ujapan wake eti kwa kuwa kazaliwa na mama Mjapan na baba mwafrika.Baba mwenyewe ni mwafrika kutoka Marekani.Mrimbwende huyu ambaye pia amesomea nchini Marekani anazungumza Kijapan kama lugha yake ya kwanza na mama yake ni Mjapan  kikwelikweli. Pamoja na ukweli kwamba alizaliwa na kulelewa Japan mrimbwende huyu Ariana Miyamoto  anaonekana katika macho ya wajapan...

BASATA YAMKABIDHI BENDERA MSHINDI WA AIRTEL TRACE MUSIC

  Mkurugenzi wa Ukuzaji Sanaa na Masoko wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Nsao Shalua (kushoto), akikabidhi bendera ya taifa kwa mshindi wa Airtel Trace Music Stars, Mayunga Nalimi kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha nchi katika fainali za Afrika za Airtel Trace Music Stars zitakazofanyika Jumamosi Machi 28, nchini Kenya .Anayeshuhudia (katikati), ni Meneja Masoko wa Airtel, Anet Muga. Barasa la Sanaa Tanzania jana limemkabithi bendera...

MWANAMUZIKI SUMA LEE AKATA SHAURI AAMUA KUACHA MZIKI, AAGIZA NYIMBO ZAKE ZIFUTWE NA REDIO WASIZIPIGE TENA

HIT MAKER  wa ‘Hakunaga’, Suma Lee amesema kuwa hatafanya tena muziki kwasababu ameachana kabisa na maisha hayo na ameamua kusomea dini ya kiislam Suma ambaye alitengeneza pesa nyingi kupitia hit yake ya ‘Hakunaga’, amesema kuwa hana mpango wa kuzitoa nyimbo zake zilizoko studio ambazo hazijatoka.“sifanyi tena muziki na nimeachana kabisa na maisha hayo, na nyimbo zote zilizobaki studio nimezisimamisha zisitoke baada ya kuzilipia, “...

UNYWAJI WA MAZIWA HUZUIA MARADHI YA AKILI

  Maziwa huimarisha seli za ubongo Wanasayansi wagundua chembechembe za glutathiona katika maziwa ambazo hulinda ubongo kuharibika Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wanasayansi kutoka nchini Marekani ni kwamba unywaji wa glasi 3 za mawiza kwa siku hulinda na kudumisha seli za ubongo wa binadamu. Wanasayansi wamefahamisha kuwa, chembechembe za glutathiona zinazopatikana katika maziwa hulinda seli za ubongo na kusababisha maziwa kupunguza...

Monday, March 30, 2015

15 MBARONI KWA NJAMA ZA KUTAKA KUMTOROSHA MCHUNGAJI GWAJIMA

KUJARIBU KUMTOROSHA MCHUNGAJI GWAJIMA KUTOKA HOSP. YA TMJ MIKOCHENI. Mtoa taarifa ASP Pamphil Mholery OCS Kawe akiwa ni ofisa wa zamu mkoa Kinondoni,trehe 29.3.2015 majira ya 0300hrs alipata taarifa kutoka vyanzo vya taarifa kwamba kuna njama za kumtorosha mtuhumiwa. Akiongozana na makachero majira ya 03:30hrs walifika eneo hilo na kukuta kweli kuna hali sio ya kawaida kwa kuwepo kundi la watu kwa usiku ule. Wakawakamata watuhumiwa 15 na mmoja...

HAWA NDIYO MISS TANZANIA WALIYOJITOKEZA NA KUJITANGAZA HADHARANI KUWA WANASUMBULIWA NA GONJWA HATARI..!!

MISS TANZANIA wawili, Happiness Millen Magese (2001) na Angela Damas (2002), wamejitokeza na kujitangaza wazi kuwa ni miongoni mwa mamilioni ya wanawake duniani wanaosumbuliwa na tatizo liitwalo ‘endometriosis’ ambalo huwafanya wapate maumivu makali wakati wa hedhi na pia kuwafanya wasiwe na uwezo wa kushika mimba. Tatizo hilo husababisha seli hai zinazounda mji wa mimba kukuwa/kuota nje ya mji wa mimba. “To all the ladies who have to live with...

MSANII KEISHA ASIMULIA ALIVYONUSURIKA KIFO *PICHAZ*

Msanii wa Bongo Fleva, Khadija Shabani’Keisha’ Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata mumewe alipofika maeneo hayo ndipo lilipotokea gari na kumuovateki na kuligonga gari lake. Msanii wa Bongo Fleva, Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba, Posta jijini Dar. Aidha alisema kuwa alisikia maumivu na alipokwenda hospitali kufanyiwa vipimo...

PANYA NI BONGE LA KITOWEO….TAZAMA AKIPIKWA HAPA!

KUNA tamaduni nyingine hutumia nyama ya mbwa kama kitoweo na wakati mwingine huamini ina faida kubwa mwilini tofauti na nyama ambazo zimezoeleka kuliwa na binadamu. Hii imetokea huko India baada ya mwanamke mmoja kumalazimisha mtoto wake kula nyama ya panya kama kitoweo cha asubuhi kwa madai watamsaidia kumpatia nguvu. Mtoto huyo aitwaye Chen alizua majibizano kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuweka picha ya panya hao ambao alitengewa na...

Saturday, March 28, 2015

CHEKI NA UPAKUE BRAND NEW VIDEO YA DIAMOND PLATNUMZ FT KHADIJA KOPA - NASEMA NA WEWE (HD)

...

Wednesday, March 25, 2015

WIZARA YA NISHATI NA MADINI YATANGAZA UFADHILI WA MASOMO NCHINI CHINA KWA MWAKA 2015

 Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud akizungumza na wanahabari.   Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu ufadhili wa masomo nchini China kwa mwaka 2015. Kulia ni Ofisa Habari wa Maelezo, Fatma Salum.  Mwanahabari Salome Kitomari kutoka gazeti la Nipashe, akiuliza maswali katika mkutano huo.  Wanahabari...

CHEKI ZARI NA DIAMOND PLATINUMZ WAKICHAKALIKA MJEMNGONI MWAO *PICHAZ*

...

Friday, March 20, 2015

FUMANIZI: NEY WA MITEGO AFUMA MAMA WATOTO WAKE AKICHEPUKA CHUMBANI..AZUA TIMBWILI ...CHEK HAPA!!!

KABAANG! Mkali wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, amedaiwa kumfumania ‘laivu’ mchumba wake Siwema akiwa kitandani na ‘serengeti boy’ wake ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, Ijumaa lina full stori. NI MWANZA Kwa mujibu wa chanzo kilichoshuhudia mwanzo mwisho, tukio hilo lilichukua nafasi Machi 15, mwaka huu maeneo ya Kitangiri jijini Mwanza ambako mrembo huyo alikuwa akiishi, baada ya Nay kupenyezewa ‘ubuyu’...

KIM KARDASHIAN AONYWA NA WATAALAMU APUNGUZE KUFANYA MAPENZI *PICHAZ*

Kim Kardashian. MADAKTARI wamemuonya mwanadada Kim Kardashian kuacha tabia yake ya kufanya mapenzi mara nyingi kwa kuwa ni hatari kwa afya yake. Kanye na mkewe Kim. Mrembo huyo ambaye ni mke wa mwanamuziki Kanye West alikiri katika sehemu ya 10 ya kipindi chao cha familia kinachoruka runingani kuwa yeye na mumewe wanafanya mapenzi mara 15 kwa siku wakijaribu kupata mtoto mwingine. Wanandoa hao tayari wana mtoto mwenye miezi 20 aitwaye North...

DIAMOND PLATNUMZ: ETI NINI???.. MIMBA YA ZARI IMETOKA!!!?

DIAMOND PLATNUMZ akana uvumi unaozagaa mitandaoni kuwa mimba ya mpenzi wake Zari imeharibika.  Diamond aliyasema hayo baada ya kuongea na paparazi wa mtandao mmoja wa kijamii. Diamond akasema: “Hee! Eti mimba ya Zari imetoka! Wanaosema hivyo walaaniwe. Mbona Wabongo wazushi sana, itakuwaje hivyo halafu nisijue. Zari yuko fiti na mimba inaendelea vizuri, ona picha za kitumbo (anamuonesha paparazi picha za Zari kwenye simu yake). “Kuna...

ITAZAME NA UIPAKUE VIDEO YA JENNIFER LOPEZ – FEEL THE LIGHT

...

MHUDUMU WA BAR AFIKISHWA POLISI BAADA YA KUDAGANYA JINSIA YA MWANAMKE KUMBE NI DUME

UGUMU wa maisha unaongeza ubunifu, ubunifu mwingine unakuweka pabaya.. huu wa huyu jamaa sidhani kama tunaweza kuuita ni ubunifu ila jamaa aliamua tu atumie njia hii ili apate tu njia ya kupata mkate wa siku. Mmiliki wa Bar ya Siaya, Kenya alimshtukia jinsia ya mmoja ya wahudumu wake wa Bar kwamba jinsia yake sio ya kike.. Akatoa taarifa Polisi kuhusu mhudumu huyo, walipokuja kumpekua jamaa alijitetea kwamba ana jinsia mbili. Jamaa huyo...

HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MHE. GODBLESS LEMA (MB)

UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, Ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu, familia yangu na viongozi wangu wa chama na wananchi wa Jimbo langu. Nawashukuru pia maadui zangu kwa dhati kwani uadui wao, hila zao, na mbinu zao chafu dhidi yangu zimeendelea kuiimarisha imani yangu na tumaini langu siku hadi siku, katika vita hii muhimu tunayopigana ya kulikomboa taifa hili. Mheshimiwa Spika,Muswada huu wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi...

ZILIZOSOMWA ZAIDI