Friday, March 20, 2015

DIAMOND PLATNUMZ: ETI NINI???.. MIMBA YA ZARI IMETOKA!!!?


DIAMOND PLATNUMZ akana uvumi unaozagaa mitandaoni kuwa mimba ya mpenzi wake Zari imeharibika. 
Diamond aliyasema hayo baada ya kuongea na paparazi wa mtandao mmoja wa kijamii.
Diamond akasema:
Hee! Eti mimba ya Zari imetoka! Wanaosema hivyo walaaniwe. Mbona Wabongo wazushi sana, itakuwaje hivyo halafu nisijue. Zari yuko fiti na mimba inaendelea vizuri, ona picha za kitumbo (anamuonesha paparazi picha za Zari kwenye simu yake).
Kuna wapuuzi wachache tu wanakaa na kujitungia mambo yao ili wajenge mada zao, niliona sana watu wakijibizana na kubishana juu ya hilo, lakini nikutoe wasiwasi kuwa hakuna taarifa kama hizo.”

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI