Monday, March 30, 2015

MSANII KEISHA ASIMULIA ALIVYONUSURIKA KIFO *PICHAZ*

Msanii wa Bongo Fleva, Khadija Shabani’Keisha’
Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata mumewe alipofika maeneo hayo ndipo lilipotokea gari na kumuovateki na kuligonga gari lake.
Msanii wa Bongo Fleva, Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba, Posta jijini Dar.
Aidha alisema kuwa alisikia maumivu na alipokwenda hospitali kufanyiwa vipimo vilionyesha hakupata majeraha kwa ndani. ‘’Nashukuru Mungu nilipimwa hospitali vipimo vilionyesha sikupata madhara yoyote kwa ndani kwani nilikuwa na wasiwasi labda niliumia kwa ndani,’alisema Keisha.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI