Msimamizi wa Mashindano ya Tanzania Movie Talents, Bw Tony Akwesa akitoa maelekezo kwa washiriki waliojitokeza kwaajili ya shindano la Tanzania Movie Talents kwa kanda ya Pwani unaoendelea kufanyika katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Jijini Dar Es Salaam
Baadhi ya washiriki wakiwa kwenye mstari tayari kwa kuchukua fomu za ushiriki wa shindano la Tanzania Movie Talents lililoanza rasmi leo Kwa Kanda ya Pwani.
Washiriki waliojitokeza...
NYUMBANI KITAIFA
Ulimwengu wa habari.
KATIKA BIASHARA
Ulimwengu wa habari.
MATAIFA MENGINE
Ulimwengu wa habari.
KATIKA BURUDANI
Ulimwengu wa habari.
MAAJABU DUNIANI
Ulimwengu wa habari.
Friday, May 30, 2014
NORWAY NA ZANZIBAR ZATILIANA SAINI UNENGWAJI WA WODI MPYA YA WATOTO
10:39 AM
No comments

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk. Mohammed Jidawi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Kikuu cha Helse Bergen kiliopo Haukelang Norway Dkt. Stener Kvinnsland wakitia saini makubaliano ya ujenzi wa Wodi mpya ya watoto eneo la Mnazi mmoja wakishuhudiwa na Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bi. Ingunn Klepsvik alieva miwani. (Picha na Makame Mshenga wa Maelezo Zanzibar).
Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bi. Ingunn Klepsvik akizungumza na viongozi wa Wizara...
KINANA AITIKISA BABATI
10:38 AM
No comments

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wakati akihitimisha ziara yake katika wilaya ya Babati yenye lengo la kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali na kusikiliza kero za wananchi ili kuzipatia ufumbuzi, Mkutano huo umefanyika kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati ukihudhuriwa na maelfu ya Wananchi. PICHA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-BABATI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman...
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA CHI ZA NJE WA UTURUKI
10:37 AM
No comments

Makamu wa Rai wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Uturuki, Ahmet Dovutoglu, aliyeongozana na ujumbe wake wakati walipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo leo, Mei 30, 2014. Katika mazungumzo yao walisisitiza juu ya ushirikiano katika Nyanja mbalimbali baina nchi hizi mbili . Waziri huyo yupo nchini kwa ziara ya Kiserikali iliyoandaliwa...
KATIBU MKUU KIONGOZI AKUTANA NA NCHI WASHIRIKA WA MAENDELEO JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10:36 AM
No comments

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akibadilishana mawazo na mabalozi na wawakilishi wa nchi washirika wa maendeleo kabla ya mkutano aliowaandalia leo Mei 30, 2014 katika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro hotel jijini Dar es salaam kuzungumzia michango katika Kapu la Afya (Health Basket Fund) pamoja na mpango wa serikali wa kuiingiza sekta ya afya katika kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue...
KAMATI TENDAJI YA TAIFA YA MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII TASAF, YAZURU KIBAHA, PWANI.
10:33 AM
No comments
.png)
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF,Ladislaus Mwamanga (aliyesimama)akitoa ufafanuzi juuya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini kwa walengwa wa Mpango huo(hawapo pichani).
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha mkoani Pwani Tatu Seleman(mwenye miwani) akiangalia moja ya mikeka iliyosukwa na walengwa wa Mpango waKunusuru Kaya masikini,PSSN, katika kijiji cha Vikuge kama njia mojawapo ya kukuzakipato cha wananchi.
Walengwa...
RAIS KIKWETE AKUKATANA NA KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA BAN KI MOON
10:30 AM
No comments

Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi alioongozana nao wakiendelea na maongezi katika mkutano na katibu mkuu wa umoja wa mataifa Bw. Ban Ki Moon uliofanyika katika hotel ya
and his delegation meet and hold talks with U.N. Secretary General Ban Ki Moon at Royal York hotel in Toronto Canada this afternoon during the three days Summit on Maternal,Newborn and Child Health with the theme”Saving every woman and every child” at the...
BUNGE LASISITIZA JENGO LA GHOROFA 16 DAR LIVUNJWE
10:25 AM
No comments

HAYO yamo katika taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kuhusu bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
Bunge limesisitiza kuwa jengo la ghorofa 16 lililoko katika Mtaa wa Indira Gandhi, Dar es Salaam ambalo liliagiza mwaka jana livunjwe, agizo hilo litekelezwe.
Aidha, imeishauri Serikali kutaifisha maeneo yote makubwa yasiyoendelezwa na kuyagawa kwa wananchi kwa matumizi mengine.
Mbunge wa...
TAARIFA YA MWENYEKITI MTENDAJI WA IPP LIMITED, DKT REGINALD MENGI, KWA UMMA
10:24 AM
No comments
Hivi karibuni nimeshuhudia kusambazwa kwa taarifa mbalimbali kupitia ujumbe mfupi wa simu (sms) na mitandao ya jamii zikinihusisha na tuhuma mbalimbali.
Napenda kuufahamisha umma kwamba taarifa zote zilizotolewa kupitia njia hizo ni za uongo, chuki, na uzushi. Kilichonisikitisha sana ni kuona kuwa uzushi huo unachochea kuifarakanisha jamii yetu kwa misingi ya ukabila jambo ambalo ni hatari kwa umoja na mshikamano ambao Tanzania tumejitahidi...
KESI YA ZITTO KABWE DHIDI YA BARAZA LA WADHAMINI LA CHADEMA,DKT. SLAA KUSIKILIZWA JULAI 31
10:22 AM
No comments

Na Mwene Said
MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imepanga kusikiliza mapingamizi ya awali ya pande zote mbili katika kesi iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe dhidi ya Baraza la Wadhamini la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Katibu Mkuu, Willbrod Slaa, Julai 31, mwaka huu.
Mheshimiwa, Jaji John Utamwa alisema kesi ilipangwa jana kwa ajili ya kutajwa na kwamba itasikilizwa mapongamizi ya awali...
ROSTAM AZIZI KATIKA MSIBA MKUBWA
10:18 AM
No comments

ALIYEKUWA mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, (CCM), amefiwa na baba yake Aziz Abdulrasool (73) jijini Dar es Salaam jana asubuhi. Akizungumza nyumbani kwa marehemu Oysterbay jana, mtoto wa pili wa marehemu, Akram Aziz, alisema baba yake alifariki saa 12 asubuhi ikiwa ni saa mbili tu baada ya kurudishwa nchini kutoka Ufaransa alikuwa anatibiwa. “Baba amefariki dunia baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa saratani,tumemrudisha nchini jana saa...
MELI YA JAPAN ILIYOLIPUKA BANDARINI.
10:15 AM
No comments

Mlipuko mkubwa umetokea kwenye meli kubwa ya mafuta nchini Japan katika Pwani ya Kusini Magharibi mwa bandari ya Himeji na kusababisha mtu mmoja kati ya wanane waliokuwa ndani ya meli hiyo kupotea huku wengine wanne wakijeruhiwa vibaya.
Moto mkubwa ulilipuka katikati ya bahari ambapo meli hiyo yenye uzito wa tani 998 iliyokuwa ikitokea mji wa Hiroshima kuachwa ikielea ndani ya maji baada ya ajali hiyo na baadae kufatwa na meli za kupambana...
SAFI SANA NKAMIA, KUNA HAJA GANI YA KUJIITA `SIMBA` WAKATI UWEZO WAKO NI KAMA `SUNGURA`
10:14 AM
No comments

Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
SERIKALI kupitia wizara ya habari, vijana, utamaduni na michezo inatarajia kuliagiza shirikisho la soka Tanzania kuachana na mpango wake wa kubadili jezi na jina la timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars.
Naibu waziri wa wizara hiyo, Juma Suleiman Nkamia, mwanahabari kitaalum na mtangazaji wa zamani wa michezo TBC, amesema hakuna haja ya kubadili jina, kikubwa ni kuubadilisha mchezo wenyewe ili twende sambamba...
AL-MERREIKH KUKINUKISHA ROBO FAINALI CECAFA NILE BASIN CUP LEO, MBEYA CITY KESHO HAPATOSHI
10:13 AM
No comments

Kocha bora wa ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2013/2014, Juma Mwambusi (kulia)
Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
ROBO fainali ya michuano ya CECAFA Nile Basin Cup inayoendelea kushika kasi nchini Sudan inatarajia kuanza kuunguruma leo jioni mjini Khartoum kwa mechi mbili kupigwa katika uwanja wa Merreikh.
AFC Leopard waliomaliza wa kwanza katika kundi B kwa kukusanya pointi 9 (ushindi wa asilimia 100) watakabiliana na Defence ya Ethiopia...
MADOGO WA U15 TANZANIA WASHIKA NAFASI YA PILI AYG
10:11 AM
No comments

Na Boniface Wambura, Dar es salaam
TANZANIA imeshika nafasi ya pili kwenye Michezo ya Afrika kwa Vijana (AYG) kwa upande wa mpira wa miguu kwa vijana wenye umri chini ya miaka 15 baada ya jana (Mei 29 mwaka huu) kuilaza Afrika Kusini mabao 2-0.
Mechi hiyo ilichezwa Uwanja wa SSKB jijini Gaborone ambapo kwa matokeo hayo Tanzania imetwaa medali ya fedha baada ya kushika nafasi ya pili. Nigeria ndiyo ilishika nafasi ya kwanza na kutwaa medali...
Subscribe to:
Posts (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
WENGI wetu huchukulia ulaji wa karanga kama chakula cha kujiburudisha na kisichokuwa na umuhimu sana katika afya ya mwili wa binadamu. Ki...
-
Jengo la Ghorofa 8 likiwa linateketea katika ghorofa ya 4,Jengo hilo linamilikiwa na mfanyabiashara anayejulikana kwa jina la Haji Kube ,...
-
1. NISHA JABU 2. FLAVIANA MATATA 3. NELLY KAMWELU 4. JOKATE MWEGELO 5. NANCY SUMBELARI 6. BELINA MGENI 7. VANESSA M...
-
Mya Myat anataka aombwe msamaha na waandalizi wa shindano la taji hilo. ****** MSHINDI wa taji la urembo nchini Burma aliyenyang...
-
Martin Kadinda wakati akiwa na Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’. Na Mayasa Mariwata IMEKAA POA SANA! Ubuyu kutoka Ho...