Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Dk
Willibrod Slaa akifungua Mkutano Mkuu wa Jimbo la Kinondoni kuhusu Uhai
wa
Chama uliofanyika Makao Makuu ya chama hicho jijini Dar es Salaam jana.
Wa pili
kushoto ni Ofisa wa Sera na Utafiti wa Chadema, Mwita Mwikwabe Waitara
na Naibu
Katibu Mkuu Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Subira Waziri (wa tatu kulia).
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika akizungumza na wajumbe waliohudhuria...
NYUMBANI KITAIFA
Ulimwengu wa habari.
KATIKA BIASHARA
Ulimwengu wa habari.
MATAIFA MENGINE
Ulimwengu wa habari.
KATIKA BURUDANI
Ulimwengu wa habari.
MAAJABU DUNIANI
Ulimwengu wa habari.
Friday, November 30, 2012
AIRTEL YAMUANDALIA PARTY AY KUMPONGEZA KWA KUPATA USHINDI
12:17 PM
No comments
Msanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo flava) na Balozi wa
Airttel Tanzania, Ambwene Yessaya 'AY' akiwa ameshika tuzo hiyo aliyozawadiwa hivi karibuni katika mashindano ya Chanel-O huko Afrika Kusini.
Afisa
Uhusiano wa Airtel Jane Matinde na Msanii wa muziki wa kizazi kipya
(Bongo flava) kwa pamoja wakionyesha tuzo ya Channel O aliyoipata
Mwanamuzi huyo nchini Afrika Kusini. Tukio...
TANZANIA YAKITAKA KITUO CHA CNN KUACHA UPOTOSHAJI JUU YA MPAKA WA TANZANIA NA MALAWI
12:08 PM
No comments

SERIKALI
ya Tanzania imekitaka kituo cha televisheni cha Kimataifa cha CNN
kusahihisha taarifa potofu ilizotoa kuhusu mgogoro wa mpaka unaoendelea
kati ya Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa.
Taarifa hizo zinaonyesha kwamba
mpaka wa Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa upo kwenye ufukwe wa Pwani
ya Tanzania jambo ambalo Serikali imesema siyo sahihi.
Akiongea na waaandishi wa
habari
leo jijini Dar es salaam Mkurugenzi...
Thursday, November 29, 2012
WILDAF NA SIKU 16 DHIDI YA VITENDO VYA UKATILI WA KIJINSIA TZ
11:49 AM
No comments

Ni katika maandalizi ya Kipindi cha JAHARA kinachorushwa kila siku za wiki kuanzia Jumatatu mpaka Jumamosi, Pichani ni Mtangazaji wa kipindi hicho Bw Spencer Lameck na Bi. Anna Kulaya ambaye ni Afisa Mwandamizi katika shirika ambalo si la Kiserikali WILDAF.
Bi. Ana Kulaya akiongea juu ya shirika la WILDAF lakini zaidi akieleza jinsi shirika hilo linavyofanya kazi, lakini pia akapata fursa ya kuielezea Kampeni ya SIKU 16 DHIDI YA VITENDO VYA...
WAOMBOLEZAJI: ''SAFARI NJEMA SHARO WETU''
1:52 AM
No comments

ULIMWENGU WA HABARI KATIKA PICHA
Jeneza lenye mwili wa Sharo Milionea likitolewa
Wananchi wakiwa na huzuni wakati mwili wa Sharo Milionea ukitolewa
Umati wa waombolezaji wakiwa nyumbani kwa Sharo Milionea
Shekh akiombea mwili wa jeneza leye mwili wa Sharo Milionea
Waumini wa dini ya kiislamu mkoani Tanga wakiufanyia ...
Wednesday, November 28, 2012
HOSPITALI YA SINZA, YALALAMIKIWA KWA KUCHAFUA MAZINGIRA
10:40 AM
No comments

WANANCHI waishio karibu na hospitali ya Sinza Manispaa ya Kinondoni
Jijini Dar es salaam wameilalamikia hospitali hiyo kwa kitendo cha
kuchoma taka ambazo moshi wake unawaathiri kiafya kwa namna moja ama
nyingine kwani huuvuta pindi taka hizo zinapochomwa.
Eneo la nyuma la Hospitali hiyo ambalo bomba lake limekuwa likilalamikiwa kutoa moshi mkali ambalo umekuwa ni kero kwa wakazi hao.
Bomba linalolalamikiwa kuwa linatoa moshi unaowaathiri...
STARS KUINGIA KAMBINI BAADA YA CHALENJI
9:32 AM
No comments
Release
No. 186
TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI
Novemba
28, 2012
STARS KUINGIA KAMBINI BAADA
YA CHALENJI
Timu
ya Taifa (Taifa Stars) inatarajia kuingia kambini baada ya kumalizika michuano
ya Kombe la Chalenji inayofanyika Uwanja wa Taifa wa Mandela ulioko Namboole
jijini Kampala, Uganda. Michuano hiyo iliyoanza Novemba 24 mwaka huu
itamalizika Desemba 8 mwaka huu.
Kwa
mujibu wa Kocha Mkuu wa timu hiyo Kim Poulsen, Stars itaingia kambini kujiandaa
kwa ajili ya mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya mabingwa wa Afrika,...
Tuesday, November 27, 2012
2NDA MAN, RAYMOND WAMLILIA SHARO MILIONEA KATIKA R.I.P SHARO MILIONEA (PRODUCED BY MANECKY)
8:18 AM
No comments

TUNAKUKUMBUKA ZAIDI KWA LADHA KAMA HIZI ULIZOTUACHI...
Monday, November 26, 2012
SHARO MILIONEA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI
11:05 PM
No comments

Msanii maarufu wa Luninga, Sharo Milionea (pichani), amefariki
dunia leo katiak ajali ya gari iliyotokea kijiji cha Lusanga, Muheza, mkoani
Tanga. Kamanda wa Polisi Tanga, Constantine Massawe, amethibitisha kutokea kifo
cha msanii huyo aliyekuwa aliyekuwa na vipaji vingi ikiwemo kuimba na kufanya michezo ya runinga.
MSANII nyota wa vichekesho na muziki
wa kizazi kipya nchini, Hussein Ramadhani, maarufu kwa jina la...
Sunday, November 25, 2012
MAKAMU WA RAIS AZINDUA MKOA MPYA WA KATAVI
12:46 PM
No comments

Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal na
mkuu wa mkoa wa Katavi Dkt. Rajab Rutengwe wakizindua rasmi mkoa wa
Katavi kwa kuweka jiwe la msingi katika kilima cha kijiji cha Kabungu
kwa ajili ya kujenga kituo cha kumbukumbu ya historia ya mkoa wa Katavi,
Kijiji Cha Kabungu ndipo palipozaliwa Wilaya ya Mpanda Mwaka 1947 na
Boma la mtawala wa kwanza wa kikoloni Mpanda lilijengwa hapo, baada ya
uwekaji...
Subscribe to:
Posts (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
WENGI wetu huchukulia ulaji wa karanga kama chakula cha kujiburudisha na kisichokuwa na umuhimu sana katika afya ya mwili wa binadamu. Ki...
-
Jengo la Ghorofa 8 likiwa linateketea katika ghorofa ya 4,Jengo hilo linamilikiwa na mfanyabiashara anayejulikana kwa jina la Haji Kube ,...
-
1. NISHA JABU 2. FLAVIANA MATATA 3. NELLY KAMWELU 4. JOKATE MWEGELO 5. NANCY SUMBELARI 6. BELINA MGENI 7. VANESSA M...
-
Mya Myat anataka aombwe msamaha na waandalizi wa shindano la taji hilo. ****** MSHINDI wa taji la urembo nchini Burma aliyenyang...
-
Mrembo Caroline Bernard akipungia mkono muda mfupi baada ya kutangazwa rasmi kuwa ndio Miss Univerce 2014, katika hafla iliyofanyika usik...