Wednesday, November 28, 2012

HOSPITALI YA SINZA, YALALAMIKIWA KWA KUCHAFUA MAZINGIRA


WANANCHI waishio karibu na hospitali ya Sinza Manispaa ya Kinondoni Jijini Dar es salaam wameilalamikia hospitali hiyo kwa kitendo cha kuchoma taka ambazo moshi wake unawaathiri kiafya kwa namna moja ama nyingine kwani huuvuta pindi taka hizo zinapochomwa.
Eneo la nyuma la Hospitali hiyo ambalo bomba lake limekuwa likilalamikiwa kutoa moshi mkali ambalo umekuwa ni kero kwa wakazi hao.
Bomba linalolalamikiwa kuwa linatoa moshi unaowaathiri wakazi karibu na hospitali hiyo.
Bomba likionekana kutoa moshi, kitu ambacho kimekuwa ni kero kwa wakazi hao kwani huishia maeneo ya karibu. 










0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI