Tuesday, June 28, 2016

ANGALIA PRE SEND OFF YA VERONICA MAPUNDA MFANYAKAZI WA TV1 TANZANIA *VIDEO HD*

NDOA ni jambo lá Kheri na wawili wakutanapo na kupendana kwa dhati basi jambo hili kamwe huwa haliepukiki, kwa kuzitambua baraka zilizomo Kwenye ndoa Bw. Lameck Silas Makweta wa Makambako na Bi. Veronica Angelus Mapunda wa Dodoma ambao ni wafanyakazi wa TV Tanzania wameamua kuungana na kuwa mwili mmoja, hapa Kwenye link hii ya blue ni moja ya video kuhusiana na jinsi wawili Hawa walivyokutana na kuamua kufunga ndoa. Enjoy!!!

Ni Part 1 ya PRE SEND OFF VIDEO IHUSUYO MAISHA YA BI. VERONICA MAPUNDA na Bw. LAMECK SILAS ambapo wawili hawa wanatarajia kufunga ndoa mnamo tarehe 2 mwezi Julai 2016 katika kanisa Katoriki Makambako, Njombe.
https://youtu.be/3p-dV8ekLj4

Its a documentary of Ms. Veronica Mapunda from Dodoma Tz who weds Mr. Lameck Silas Makweta of Makambako Tz on 2nd July 2016, as appreciation to these beautiful couples Samfrod Media did a documentary that talks about their lives as lovers who started slowly when they met at TV1 Tanzania company on 2013.
We wish them nothing but endless happiness in their eternal love life.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI