Thursday, June 23, 2016

NYOTA YA VANESSA MDEE YAZIDI KUNG'AA KIMATAIFA..ATAJWA KUWANIA TUZO NIGERIA

Msanii wa Bongofleva Vanessa Mdee jina lake limeingia kwenye headlines baada ya kutajwa katika moja kati ya tuzo kubwa Nigeria Entertainment, Vanessa ametajwa kuwania tuzo zinazoitwa Nigeria Entertainment Awards.
Jina la muimbaji Vanessa Mdee limetajwa katika kipengele cha kuwania tuzo ya muimbaji bora wa kike, katika kipengele hicho Vanessa anawania tuzo hiyo na wasanii wengine saba kutoka nchi mbalimbali, Nigeria Entertainment Awards zitafanyika New York Marekani, September 4 2016

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI