
NDOA ni jambo lá Kheri na wawili wakutanapo na kupendana kwa dhati basi jambo hili kamwe huwa haliepukiki, kwa kuzitambua baraka zilizomo Kwenye ndoa Bw. Lameck Silas Makweta wa Makambako na Bi. Veronica Angelus Mapunda wa Dodoma ambao ni wafanyakazi wa TV Tanzania wameamua kuungana na kuwa mwili mmoja, hapa Kwenye link hii ya blue ni moja ya video kuhusiana na jinsi wawili Hawa walivyokutana na kuamua kufunga ndoa. Enjoy!!!
Ni Part 1 ya PRE...