Tuesday, January 26, 2016

ESTER BULAYA AMGARAGAZA TENA WASIRA...ASHINDA KESI YA UCHAGUZI ILIYOFUNGULIWA KUPINGA USHINDI WAKE

Ester Bulaya Ameandika Maneno haya Baada ya Ushindi wa Mahakamani;
"Nilimshinda Wasira kwa wananchi, na leo nimemshinda kisheria, Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza imetupilia mbali kesi ya Uchaguzi dhidi yangu, iliyofunguliwa na wapambe wa wasira. Mungu husimama na watu waliowema. Nakutumaini mungu wangu na wewe ndiye mlinzi wangu.Asante sana Wananchi wangu wa Bunda Mjini mliokwenda Mwanza kusikiliza Hukumu. Mbunge wenu nipo dodoma tayari kwa kuanza vikao vya Bunge Kesho." Ester Bulaya

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI