NYUMBANI KITAIFA

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BIASHARA

Ulimwengu wa habari.

MATAIFA MENGINE

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BURUDANI

Ulimwengu wa habari.

MAAJABU DUNIANI

Ulimwengu wa habari.

Tuesday, January 26, 2016

MASWALI 9 ‘MSUKULE’ KUKUTWA NYUMBA YA TAJIRI CHINI YA SHIMO LA CHOO

Hofu imeendelea kutanda maeneo ya Kibamba jijini Dar na kuacha maswali tisa kwa wananchi kuhusiana na mwanamke aliyekutwa kwenye shimo la urefu wa futi kumi, nyumbani kwa mfanyabiashara aliyejulikana kwa jina moja la Mtei. HALI YA MWANAMKE HUYO Mwanamke huyo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 27, aliwashangaza wakazi wa eneo hilo kwani ndani ya  shimo alilokutwa alionekana mchafu, aliyenyongea, akiwa hoi kwa njaa na mtupu kiasi cha kudhaniwa...

NYUMBA YA MCHUNGAJI LAKATWARE YASABABISHA JANUARY MAKAMBA KUCHUKUA HATUA KALI KWA MAAFISA HAWA

SAKATA la maofisa watatu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), waliosimamishwa kazi kwa tuhuma ya kukiuka miiko yao ya kazi, limechukua sura mpya, baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba, kuagiza wafikishwe mbele ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru). Pamoja na hayo, Waziri huyo amemsimamisha kazi aliyekuwa mwanasheria wa baraza hilo, John Mnyele...

WEMA SEPETU KUJIFUNGUA MWEZI AUGUST

Malkia wa filamu, Wema Sepetu anatarajia kujifungua mwezi August 2016, kwa mujibu wa mpenzi wake Idris Sultan. Akizungumza katika kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM Jumanne hii, Idris alisema mpenzi wake huyo anatarajia kupata mtoto baada ya miezi 6 au 7 hali ambayo imetafsiriwa na wadau wa mambo kuwa huenda mwanadada huyo akawa na mimba ya miezi 3 au 2. “Yes very soon natarajia kupata mtoto kama miezi 6 au 7 ijayo,” alisema Idris. Pia Idris...

JAJI ADAIWA KUPOKEA RUSHWA YA $2M KENYA

Dkt Mutunga ameitisha kikao cha tume ya mahakama Jumatano Jaji mmoja wa mahakama ya juu nchini Kenya anachunguzwa kwa madai ya kupokea rushwa ya jumla ya $2 milioni kutoka kwa mwanasiasa. Jaji huyo anadaiwa kupokea pesa hizo ili kumpendelea mwanasiasa huyo kwenye kesi ya kupinga kuchaguliwa kwake kwenye uchaguzi mkuu wa 2013. Kiongozi wa idara ya mahakama nchini Kenya, Jaji Mkuu Willy Mutunga amekiri kupokea nyaraka kuhusu malalamiko dhidi...

ESTER BULAYA AMGARAGAZA TENA WASIRA...ASHINDA KESI YA UCHAGUZI ILIYOFUNGULIWA KUPINGA USHINDI WAKE

Ester Bulaya Ameandika Maneno haya Baada ya Ushindi wa Mahakamani; "Nilimshinda Wasira kwa wananchi, na leo nimemshinda kisheria, Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza imetupilia mbali kesi ya Uchaguzi dhidi yangu, iliyofunguliwa na wapambe wa wasira. Mungu husimama na watu waliowema. Nakutumaini mungu wangu na wewe ndiye mlinzi wangu.Asante sana Wananchi wangu wa Bunda Mjini mliokwenda Mwanza kusikiliza Hukumu. Mbunge wenu nipo dodoma tayari kwa kuanza...

WATU WAWILI WAFARIKI KIGOMA BAADA YA KUSOMBWA NA MAJI YA MVUA

Na Emmanuel Senny, Kigoma Watu wawili wakazi wa Kata ya Kagunga kitongoji cha Zashe Mwambao wa Ziwa Tanganyika Mkoa wa Kigoma wamefariki dunia baada ya  kusombwa na maji kutokana na kunyesha mvua kubwa huku kaya tisa zikikosa makazi ya kuishi ikiwemo nyumba mbili kuangukiwa na kifusi cha mlima. Akizungumza na Modewji Blog, Katibu Tawala wa Wilaya ya Kigoma, Joshua Elisha alisema kuwa, tukio hilo lilisababishwa na mvua kubwa iliyonyesha...

CHADEMA WAMKARIBISHA BENARD MEMBE KUJIUNGA NA CHAMA CHAO!!!

Waziri wa zamani wa Mamboya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amekaribishwa kujiunga na Chama Cga Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ikiwa ni siku chache tangu atoe maoni yake akiikosoa serikali ya Rais John Magufuli. Mwanasiasa huyo mkongwe amekaribishwa na Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob ambaye alimshawishi kwa kutumia mifano ya wanasiasa wakongwe waliokuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliohamia Chadema...

WIMBO WA ADELE WAVUNJA REKODI YOUTUBE

Wimbo wa Hello ulivuma sana 2015 Wimbo wa mwanamuziki Mwingereza Adele umevunja rekodi nyingine kwa kutazamwa mara bilioni moja haraka zaidi katika YouTube. Video ya wimbo huo, Hello, imetazamwa mara bilioni moja katika YouTube siku 87 pekee baada ya kupakiwa kwenye mtandao huo. Wimbo huo umeupita wimbo wa Psy kwa jina Gangnam Style ambao ulitazamwa mara bilioni moja siku 158 baada ya kupakiwa. Wimbo huo ulichomolewa studioni Julai 2012. Albamu...

DIAMOND PLATINUMZ AFUNGUKA KUHUSU WAZIRI WA HABARI UTAMADUNI NA MICHEZO MHE. NAPE NNAUYE..!

Diamond Platnumz amesema akiachana na muziki anataka kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ili kuweka vitu sawa na kutoa fursa zaidi kwa vijana. Akizungumza katika kipindi cha Papaso cha TBC FM, Diamond alisema kama akiingia kwenye siasa basi nia yake ni kuwa Waziri wa Michezo. “Kwa sasa hivi siasa bado ila nikiingia kwenye siasa baadaye akimaliza mheshimiwa Nape nachukua mimi kile cheo cha Waziri wa Michezo,”alisema na kuongeza “Kile...

WAZAZI MKOANI MWANZA WASIKITIKA NA ELIMU BURE KUWABAGUA WANAFUNZI WA ELIMU YA WATU WAZIMA.

Wazazi na Walezi wa Wanafunzi wanaosoma kitengo cha elimu ya Watu Wazima katika Shule ya Sekondari Pasiansi iliyopo Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza, wameiomba Serikali kuondoa ada kwa wanafunzi hao ili nao waweze kunufaika na mpango wa elimu bure nchini. Wazazi hao wametoa ombi hilo hii leo baada ya kumalizika  kwa kikao baina yao na uongozi wa Shule hiyo pamoja na  Kitengo cha Elimu ya Watu Wazima Mkoani Mwanza,  sanjari na...

IDRIS SULTAN AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA KUHUSU MIMBA YA WEMA SEPETU..ATAJA MIMBA INA MIEZI MINGAPI!!! *AUDIO*

Wema na Idriss Kumekuwa na headline nyingi zikiandikwa kuhusu mastaa wa bongo Idris Sultan na Wema Sepetu na hii ni kuhusu mapenzi yao, hapa nakukutanisha na Idris akifunguka yote makubwa usiyoyajua kuhusu mapenzi yao....

Sunday, January 17, 2016

ALSHABAAB: ''TUNAWAZUILIA MATEKA WA KENYA''

wapiganaji wa Alshabaab Kundi la wapiganji wa Alshabaab limesema kuwa linazuia kile linachokitaja ni wafungwa wa vita kutoka Kenya kufuatia shambulio lao katika kambi ya kijeshi kusini mwa Somalia. Alshabaab ambao waliivamia kambi hiyo wamesema kuwa wanajeshi 100 wanaohudumu katika muungano wa Afrika waliuawa. Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta alisema siku ya ijumaa kwamba baadhi ya wanajeshi wa Kenya waliuawa lakini hakutoa idadi yao. Al Shabaab...

ZILIZOSOMWA ZAIDI