Tuesday, December 1, 2015

SAKATA LA MAKONTENA: POLISI KWA KUSHIRIKIANA NA TRA WAKAMATA MAKONTENA 9

Maofisa wa Jeshi la Polisi  Dar es Salaam kwa kushirikiana na TRA, wanayashikilia makontena 9   Mbezi Tanki Bovu baada  ya  kuyatilia shaka kuwa yalikuwa yanasafirishwa kinyememela usiku wa kumakia leo

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI