Sunday, October 4, 2015

MAAJABU YA DUNIA..!! MTOTO HUYU AZALIWA NA NUSU KICHWA, HANA UBONGO LAKINI BADO ANAISHI JIONEE *VIDEO* HAPA

Jaxon Buell alizaliwa August 27 2014 huko Birmingham, Uingereza akiwa hana sehemu kubwa ya fuvu la kichwa pamoja na ubongo.
Madaktari waliligundua tatizo la huyu mtoto tangu kipindi ambacho bado hajazaliwa,Brandon na Brittany ambao ni wazazi wake walishauriwa na Madaktari kwamba ni bora ujauzito wake ukatolewa… wao hawakukubali, kingine kikafuatia kwamba hata akizaliwa,hatokuwa na maisha marefu atafarariki kutokana na ukubwa wa tatizo lake.
Baada ya miezi mingi kupita akiwa anafanyiwa uchunguzi na madaktari waligundua kuwa hakuna kinga yoyote itakayomsaidia kuendelea kuishi lakini wazazi wake hawakukata tamaa na walifanya kila jitihada kuhakikisha mtoto wao anaendelea kuishi.
Wazazi wa Jaxon, Brandon na Brittany pamoja na mtoto wao wakiwa na nyuso za furaha
Wazi hao waliweza kukusanya kiasi cha dola 100,000 kutoka kwa watu mbalimbali ili kuokoa maisha ya mtoto wao tangu azaliwe na sasa ana miezi 13 na anaendelea vizuri.
Unaweza kuitazama na hii video yake hapa pia…

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI