NYUMBANI KITAIFA

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BIASHARA

Ulimwengu wa habari.

MATAIFA MENGINE

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BURUDANI

Ulimwengu wa habari.

MAAJABU DUNIANI

Ulimwengu wa habari.

Wednesday, September 30, 2015

CCM WAITUHUMU UKAWA KUMWAGIA MIKOJO OFISI ZAO TANGA!!!

Chama cha Mapinduzi kinasikitishwa na kitendo cha wafuasi wa vyama vinavyounda UKAWA kupiga mawe na kutupa chupa, baadhi zikiwa na mikojo, kwenye Ofisi ya CCM Mkoa wa Tanga jana, tarehe 28 Septemba 2015, kabla na baada ya mkutano wao wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Tangamano, Tanga Mjini. Kama ilivyo kawaida yetu miaka yote, CCM iliazimia kufanya kampeni za amani, zinazoheshimu sheria za nchi na utu wa wapinzani wetu. Hadi sasa, tumeweza...

RAY C AREJESHA KIUNO CHAKE KISICHO NA MFUPA? *PICHAZ*

Huenda jitihada za Ray C kukirejesha kiuno chake kisichokuwa na mfupa zimeanza kuzaa matunda! Kwa muda mrefu muimbaji huyo amekuwa akijaribu kuupunguza unene wake uliompoteza muonekano wake wa zamani uliompa sifa jukwaani na sasa picha zake mpya zinaonesha mafanikio. Muimbaji huyo ambaye jina lake halisi ni Rehema Chalamila, ameshare picha zake mpya kuonesha hatua aliyofikia. “Haka ni kanani???yaani sitaki kuamini haka katoto ni mimi...

HIZI NDIO SAFARI NDEFU ZAIDI ZA NDEGE DUNIANI, UNAKAA MPAKA SAA 17 ANGANI..! *PICHAZ*

Unaweza ukaona safari ya kutoka Mwanza mpaka Dar es Salaam ni ndefu kwa sababu unatumia kati ya saa 12 mpaka 16 ndani ya basi, lakini kwa Usafiri wa Ndege ni kama saa moja tu hivi unakuwa umemaliza safari !! Sasa hizo saa za kukaa kwenye basi safari ya Mwanza-Dar kuna watu wanazitumia wakiwa angani kwenye Ndege… Nimezipata Rekodi Mitandaoni, zinaonesha safari kumi za Ndege ambazo wasafiri wanatumia muda mwingi zaidi hewani kwenye safari...

Sunday, September 27, 2015

BULAYA: ''SASA NIMEMDHIBITI WASSIRA''

MGOMBEA ubunge anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) jimbo la Bunda mjini, mkoani Mara, Esther Bulaya anajivuna kuwa amefanikiwa kumdhibiti mpinzani wake mkubwa katika uchaguzi mkuu, Stephen Wassira. Akizungumza na MwanahalisiOnline, Bulaya ambaye alikuwa mbunge wa Viti Maalum akitokea Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), amesema kwamba amedhoofisha ngome ya Wassira, ambaye amekuwa kiongozi serikalini tangu awamu ya kwanza ya Mwalimu...

MAGUFULI AZOMEWA JIJINI MBEYA.....WANANCHI WASEMA WANAMTAKA LOWASSA. *VIDEOZ*

Katika  hali  isiyo  ya  kawaida,Mgombea  Urais  kwa  tiketi  ya  CCM, Dr. John Magufuli  leo  alijikuta  katika  wakati  mgumu  baada  ya  kukutana  na zomea zomea  ya  kundi  la  vijana  waliovamia  msafara  wake  akiwa  njianI  kuelekea  Mbarali  na kuanza  kuimba wakidai  Lowassa ...

MKUTANO WA KAMPENI ZA CCM MKOKOTONI LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akizungumza na WanaCCM na Wananchi na Wapenda amani katika Wilaya ya Kaskazini A Jimbo la Tumbatu katika Uwanja wa Sunrize Mkokotoni Mkoa wa kaskazini Unguja leo jioni, #Picha na Ikulu...

MAALIM SEIF ASIKITISHWA NA AJIRA ZA WATOTO WILAYA YA MICHEWENI *PICHAZ*

 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia watoto wanaovyojihusisha na kazi ya uvunjaji wa kokoto katika Wilaya ya Micheweni, alipotembelea kikundi kinachojihusisha na kazi hiyo.  Baadhi ya watoto wakijihusisha na kazi ya uvunjaji wa kokoto katika Wilaya ya Micheweni.  Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia kazi ya useremala inayofanywa...

ITAZAME NA UIPAKUE VIDEO MPYA YA DAVIDO - DODO

...

MBASHA NA SIMULIZI YA KUTAKA KUJINYONGA

Brighton Masalu KUMBUKUMBU ya kusikitisha! Siku chache baada ya kushinda kesi ya ubakaji wa shemejiye, Emmanuel Mbasha ameibuka na kusimulia jinsi alivyonusurika kujitoa uhai wakati kesi hiyo ilipokuwa ikiunguruma, Risasi Jumamosi linaandika. Emmanuel Mbasha.  ‘Akimnong’oneza’ mwandishi wetu kwa njia ya simu Jumatano ya wiki iliyopita katika mahojiano maalum, Mbasha alisema kesi hiyo ilikuwa ikimuumiza moyo na kujiona hana thamani ya...

CRISTIANO RONALDO ANAISUBIRI REKODI HII KWA TABASAMU, KAMA AKIFANIKIWA KUFANYA HIVI

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno na klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldoambaye ni baba wa mtoto mmoja wa kiume aitwaye Cristiano Ronaldo Junior, September 25 amepiga picha nakuiweka katika account yake ya Instagram huku akiwa na tabasamu la furaha linalotafsiriwa kuwa ni furaha yake ya kukaribia kuweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa Real Madrid wa muda wote. moja kati ya picha zake...

MO AMPIKU DANGOTE MFANYABISHARA BORA AFRIKA

Vinara wa biashara Afrika walipewa tuzo mbalimbali za African Business katika picha ya pamoja. Kuanzia kushoto ni Daphne Mashile Nkosi, Strive Masiyiwa, Helen Hai na Mohammed Dewji . hafla ya utoaji wa tuzo hizo ilifanyika hoteli ya Four Seasons Hotel mjini New York.(Picha na African Business). Na Mwandishi wetu, New York MTANZANIA Bilionea Mohamed Dewji amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika wa mwaka 2015, katika kinyang’anyiro...

SOMA RATIBA YA MAZISHI YA MHE. CELINE KOMBANI

...

MAGUFULI AWATAJA WANACCM WANAOMSALITI HUKU WAKIMSANIFU KUWA WANAMUUNGA MKONO

MGOMBEA Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, jana aligeuka mbogo baada ya kuamua kuwataja hadharani watu wanaohujumu kampeni zake kwa kujifanya mchana wako pamoja na usiku wakigeukia upande wa upinzani. Akiwahutubia wananchi wa mkoani Shinyanga jana katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa CCM Kambarage, Dk. Magufuli, alisema kuna mamluki wanaokihujumu chama hicho katika kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa...

LOWASSA AMNADI MBATIA JIMBONI VUNJO *PICHAZ*

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Vunjo na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Mh. James Mbatia, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Himo, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye uwanja wa Polisi Himo, Jimbo la Vunjo, Mkoani Kilimanjaro leo Septemba 27, 2015. Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Himo, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika...

Saturday, September 26, 2015

YANGA, SIMBA, AZAM ZASHINDA VPL, MATOKEO YOTE HAPA

Vigogo vya ligi kuu ya Tanzania bara Simba,Yanga na Azam vimeibuka na ushindi katika michezo yao ya mzunguko wa pili. Yanga wakicheza katika uwanja wa Taifa waliwachapa Tanzania Prisons kwa mabao 3-0, huku Simba Sport wakicheza ugenini dhidi ya Mgambo Jkt walichomoza na ushindi wa mabao 2-0. Azam Fc walipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Stand United mchezo uliochezwa kwenye dimba la Kambarage Shinyanga. Matokeo Mengine ya ligi hiyo...

ZILIZOSOMWA ZAIDI