Saturday, September 26, 2015

YANGA, SIMBA, AZAM ZASHINDA VPL, MATOKEO YOTE HAPA

Vigogo vya ligi kuu ya Tanzania bara Simba,Yanga na Azam vimeibuka na ushindi katika michezo yao ya mzunguko wa pili.

Yanga wakicheza katika uwanja wa Taifa waliwachapa Tanzania Prisons kwa mabao 3-0, huku Simba Sport wakicheza ugenini dhidi ya Mgambo Jkt walichomoza na ushindi wa mabao 2-0.
Azam Fc walipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Stand United mchezo uliochezwa kwenye dimba la Kambarage Shinyanga.


Matokeo Mengine ya ligi hiyo ni:
Ndanda FC 1-0 Coastal Union (Nangwanda Sijaona, Mtwara)
Mbeya City 3-0 JKT Ruvu (Sokoine, Mbeya)
Majimaji FC 1-0 Kagera Sugar (Majimaji, Songea)
Mwadui FC 2-0 African Sports (Mwadui Complex, Shinyanga)
Toto Africans 1-2 Mtibwa Sugar (CCM Kirumba, Mwanza)

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI