
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi kutoka
wilaya ya Nyamagana wanaounda makundi ya Machinga,Bodaboda, na Mama
Lishe kwenye uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na makundi ya Mama
Lishe ,Machinga na Boda boda katika kikao kilichofanyika kwenye uwanja
wa CCM Kirumba.
Baadhi ya Mama lishe waliohudhulia kikao na Katibu Mkuu wa...