Sunday, February 22, 2015

MSHUHUDIE ANAYEDAIWA KUWA MKUU MPYA WA WILAYA MOJA NCHINI…NI SHIIIIDAH *PICHAZ*

Jana Siku Nzima Msichana huyu anayejulikana kama Nice Chande ama @mwakalicious24 amepaishwa sana kwenye mitandao ikisemekana kuwa Rais kamchangua kuwa Mkuu wa Wilaya 
Watu wengi waliguswa hasa kutokana na umbo lake matata ....Bado hatujapata ukweli wa jambo hili lakini haraka haraka nimeangalia majina ya wakuu wa Wilaya wapya sijaona jina lake labda awe anatumia jina jingine ...Jionee Picha zaidi Hapa Chini:



0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI