Sunday, February 22, 2015

AMBER ROSE ALIPOACHIA *PICHAZ* ZA KU#BREAKTHEINTERNET TENA! (+18YRS)

 Mwanamitindo aliyekuwa mke wa rapa Wiz Khalifa Amber Rose ’31’ amerudia tena mtindo wake wa ku BreakTheInternet kwa kuweka picha zake akiwa kwenye pozi tofauti.
Mara ya kwanza Amber kufanya hivi ilikuwa August 2014 wakati album ya mume wake Wiz Khalifa ‘Blacc Hollywood’ ilivyoshika namba moja kwenye chati za Billboard hot 200.




0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI