UKIISIKIA sauti ya leo ya Ray c huwezi kumtofautisha kabisa na Ray c yule wa kitambo, sauti ile ile na swaga zile zile. Hapa anakwambia Mshum mshum. Huu niwimbo wake wa kwanza tangu aamue kurudi katika game baada ya kukaa kando kwa muda sasa.
Saturday, December 20, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
KUPENDEZA ni vile mtu unavyojipanga katika mavazi, na moja ya mavazi mhimu kwa ukanda huu wa Afrika ni vazi la kitenge ambapo naweza se...
-
Jack Lowassa Kama anavyopenda kujiita siku za hivi karibuni, amevishwa pete
-
Bondia wa Tanzania Thomas Mashali amezikwa kwenye makaburi ya Kinondoni Dar es salaam leo, aliuwawa usiku wa October 30 2016 Kimara Da...
0 comments:
Post a Comment