Thursday, July 31, 2014

KUTANA NA PICHA ZA MWANAMKE MWENYE KIUNO CHEMBAMBA DUNIANI

CATHIE Jung ana miaka 77 na ndiye mwanamke mwenye kiuno chembamba zaidi Duniani. 
Ni miongoni mwa watu walio kwenye kitabu maarufu cha kumbukumbu za Guinness world Hakika hii inashangaza kimtindo.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI