
Kutoka Misri
MAHAKAMA moja nchini Misri imempa mwanablogu mmoja kifungo cha miaka mitatu gerezani kwa kukufuru na kudharau dini.
Alber Saber alikamatwa mwezi wa tisa baada
ya majirani kumlaumu kwama ndiye aliweka
kilinganishi cha mtandao kilichoashiria sinema iliyoidhihaki dini ya
Kiisilamu, na iliyosababisha...