Monday, October 29, 2012

POLISI DAR WAKAMATA NYARA ZA SERIKALI

Pembe za ndovu ziliokamatwa na Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam maeneo ya Kimara Jijini Dar.

Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es salaam linawashikilia watuhumiwa watuhumiwa wanne wa nyara za serikali akiwemo mwanamke mmoja, raia wawili wa kenya kwa vitendo vya ujangili baada ya kukamatwa na meno ya tembo miambili na kumi na nne (214) zikiwa na thamani ya Tsh. Bilioni 2 milioni moja na 59 elfu laki moja na 57 kinyume cha sheria.

''Jeshi la polisi kanda maalumu lilipata taarifa kuwa huko kimara kwa mzee Kenyelaki kwamba kuna waarifu walikuwa mameficha mali mbalimbali ikiwa ni pamoja na nyara za serikali, tulipofika katika hiyo nyumba tukakuta wanaashi wakenya wawili pamoja na mtanzania mmoja ambae ni mwanamke, katika upekuzi wa nyumba hiyo vilipatikana vitu mbalimbali vilivyokuwa vimeibiwa kama mafriji, magoro na nyara.

Wakati huo huo pia kamanda Kova akatumia kupiga marufuku vikundi vinavyojihusisha kuwepo kwa tetesi za maandamano yanayotarajiwa kufanyika siku ya Alhamisi na Ijumaa kwa waumini wa dini ya kiislamu na kuwepo kwa vipeperushi vinavyoashiria uvunjifu wa amani.
''Suala hilo la maandamano halikubaliki saizi na hatuna mazungumzo zaidi katika suala lolote ambalo litaashiria uvunjifu wa aman, sisi hatuangalii dini, chama, taasisi au nani anasema, tunachoangalia ni Law and Order,(Sheria na utaratibu) Alisema Kova.

Mkuu wa kikosi cha kuzuia ujangiri 

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI