Saturday, December 17, 2016

THE WEEKND AFANYA POA KWENYE CHATI ZA BILLBOARD

THE Weeknd ameendelea kufanya vizuri kwenye chati za Billboard.
Muimbaji huyo amejiwekea rekodi yake ya kuwa msanii wa tano kukaa kwa muda mrefu kwenye chati za Billboard Hot 100 akiwa amekaa kwa kwa wiki 10 mpaka sasa huku albamu ake mpya ya ‘Star Boy’ ikishika nafasi ya pili kwenye chati za Billboard Top 200.
Wasanii wengine waliowahi kukaa kwenye chati hizo kwa muda mrefu ni pamoja na Taylor Swift (31), Drake (23), Justin Bieber (11) na Adele (10).

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI