Monday, October 31, 2016

MSANII MABESTE NA MENEJA WAKE LISA FICKENSCHER WAFUNGA NDOA *PICHAZ*

 Msanii wa muziki wa hip hop Mabeste weekend hii amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu aitwae, Lisa Fickenscher.
Wawili hao tayari wana mtoto mmoja aitwae, Kendrick Mabeste.
Kupitia instagrm, Mabeste ameandika:
Morning .. Hatimae nimeopoa Jana 😄😄Thank you sana My Big brother Jesus And Thank you
Rapa huyo amekuwa ni miongoni mwa wasanii wa bongofleva waliofunga ndoa mwezi huu baada ya Tunda Man pamoja Nyandu Tozzy kufunga ndoa siku chache zilizopita. Angalia picha.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI