Monday, October 31, 2016

IYANYA ASAINISHWA NA MAVIN RECORDS YA DON JAZZY

Himaya ya Mavin Records imemsanisha msanii heavy weight, Iyanya. Mkali huyo anaungana na orodha iliyoshiba ya Mavin inayojumisha wakali kama Tiwa Savage, Dr SID, D’Prince, Di’Ja, Korede Bellona Reekado Banks.
Katika kumtambulisha Iyanya kwenye label yake, Don Jazzy ameandika kwenye Instagram: The SUPREME MAVIN DYNASTY is pleased to welcome @Iyanya to the ever growing Mavin Family. Pls join us to welcome him and let the world know that we #Up2Sumting. #MavinActivated.
Naye Dr Sid ameandika: I’m happy to welcome @iyanya to @mavinrecords as the newest member of the #Mavin family #SMD #UP2SOMETHING #MAVINACTIVATED Happy birthday bro
Dili hili limekuja miezi mitatu baada ya Iyanya kuachana na meneja na mshirika wake wa miaka 6 Ubi Franklin waliyekuwa na label yao, MMMG. Alikuwa na mpango wa kuanzisha label yake.
Tayari Iyanya ameachia wimbo Up To Something akiwashirikisha Don Jazzy & Dr Sid.

Ji

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI