Saturday, October 29, 2016

HAPPY BIRTHDAY RAIS WA TANZANIA MAGUFULI

IKIWA leo ni siku ya kuzaliwa ya Rais Dkt John Magufuli  watu wa fani na rika mbalimbali wameendelea kumpongeza kupitia mitandao ya kijamii.
“Ninamshukuru Mungu kufikia siku yangu ya kuzaliwa,ninawashukuru watanzania nyote kwa kuniombea,” ameandika kwenye Twitter. “Nitafanya kazi kwa moyo nanguvu zangu zote,” ameongeza.
“Ninaahidi kuendelea kufanya kazi kwa moyo na nguvu zangu zote kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Mungu Ibariki Tanzania.”
ULIMWENGU WA HABARI tunasemaaaaaa
"Happy Birthday mheshimiwa Rais Magufuli"

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI