Friday, March 4, 2016

BEYONCE KAVUA PETE YA NDOA ALIYOVALISHWA NA JAY Z...IS IT OVER?

Beyonce na Jay-Z wanazidi kuandamwa na taarifa za kuachana na kupeana talaka. Taaarifa hizi zimepewa nguvu na kitendo cha Beyonce kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa ya rafiki yake Kelly Rowland aliyefikisha miaka 35.
Mtu aliyekuwepo kwenye pati hio anasema “Beyonce alivua pete yake na kuiweka juu na kusema hii ni mara ya mwisho ataonekana amevaa pete hio,marafiki walibidi wamtulize”

Jay Z ’46’ na Beyonce wamekuwa wakizungukwa na taarifa hizi kwa muda mrefu sasa

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI