Mtu wangu nimefanikiwa kupita katika Jiji La Moshi kipindi hiki cha siasa kumekuwa na harakati nyingi za siasa ambazo zimefanya mji huu uchangamke zaidi ya ulivyokuwa kabla ya hapo,hapa nimekuwekea Taswira mbalimbali ya picha jinsi maswala ya siasa yalivyouteka mji wa moshi kwa sasa,ukiingia tu Mji huu kwa sasa lazima ukutane na mabango,Bendera, pamoja na vijana wa vyama mbalimbali wakiwa na hamasa ya uchaguzi tofauti na miaka ya awali,unaweza kufaidi Picha za matukio yote hapa mdau
Wednesday, September 23, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Picha zote hizi zilipigwa kati ya mwaka 2006 na 2007 na zinamwonyesha mwanadada Wema Sepetu, miaka hiyooooo, NI SHIDAAAAH. Tazama picha...
-
Samuel Afful na Yahaya Mohammed wakimwaga wino mbele ya Meneja Mkuu wa timu hiyo Abdul Mohamed. UONGOZI wa klabu ya Azam FC, umefa...
-
Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) imetoa adhabu ya onyo kali na kukitaka kituo cha ITV kuomba radhi mara mbili mfululizo kweny...
-
TV 1 TANZANIA YAWA KIVUTIO KIKUBWA KATIKA TAMASHA LA NYAMA CHOMA FESTIVAL GRAND FINALE 2014 *PICHAZ*Banda la TV 1 Tanzania katika tamasha la Nyama Choma Festival Grand Finale 2014. MAANDALIZI…! Baadhi ya wachoma nyama wakiendelea ...







0 comments:
Post a Comment