Mtu wangu nimefanikiwa kupita katika Jiji La Moshi kipindi hiki cha siasa kumekuwa na harakati nyingi za siasa ambazo zimefanya mji huu uchangamke zaidi ya ulivyokuwa kabla ya hapo,hapa nimekuwekea Taswira mbalimbali ya picha jinsi maswala ya siasa yalivyouteka mji wa moshi kwa sasa,ukiingia tu Mji huu kwa sasa lazima ukutane na mabango,Bendera, pamoja na vijana wa vyama mbalimbali wakiwa na hamasa ya uchaguzi tofauti na miaka ya awali,unaweza kufaidi Picha za matukio yote hapa mdau
Wednesday, September 23, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Picha zote hizi zilipigwa kati ya mwaka 2006 na 2007 na zinamwonyesha mwanadada Wema Sepetu, miaka hiyooooo, NI SHIDAAAAH. Tazama picha...
-
BALOZI wa kudumu kwenye baraza la umoja wa mataifa anaeliwakilisha bara la Afrika Amina Salim Ali, ambae nae ameshatangaaza nia ya kuo...
-
KUJARIBU KUMTOROSHA MCHUNGAJI GWAJIMA KUTOKA HOSP. YA TMJ MIKOCHENI. Mtoa taarifa ASP Pamphil Mholery OCS Kawe akiwa ni ofisa wa zamu m...
-
HARUNI SANCHAWA NA MAKONGORO OGING, PWANI LILE sakatala lililotamba kwenye vyombo vya habari la bi harusi, Bahati Mwakambonja (54), ku...
-
Bendera ya Tanzania na Namibia. Ndege ya Rais ikiwasili. Rais wa Namibia, Hag...







0 comments:
Post a Comment