Friday, April 24, 2015

JOH MAKINI AACHIA VIDEO MPYA - NUSU NUSU

JOH MAKINI amekuwa ni mmoja wa wasanii ambao wamekuwa wakifanya kazi zao vizuri ili 'kutusua' kimataifa ambapo kwa sasa msanii huyu mahiri ameachia kichupa kingine cha ukweee sana 'Nusu nusu' kupitia kituo cha kimataifa cha MTV Base 'Spanking New' 
Joh ameutaarifu ULIMWENGU WA HABARI kuwa Video hiyo imeongozwa na Justin Campos muongozaji aliyeongoza ile Video ya Vanessa na K.O - 'No body but me' ambayo mpaka sasa inafanya vizuri tu katika vituo mbalimbali vya kimataifa kama vile Trace Urban, MTV Base na Sound City ya Nigeria.

Video hiyo mpya ya Joh Makini utaiona kupitia MTV Base na katika mitandao mbali mbali ya kijamii.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI