Sunday, February 22, 2015

TAARIFA: SEHEMU ULIPO MSIBA WA MEZ B & SIKU ATAKAYOZIKWA MKOANI DODOMA

MSIBA wa Ndugu yetu Mez B upo Maeneo ya Kisasa hapa Dodoma!!!Nashukuru kwa Ushirikiano wa Wasanii Wakongwe hapa Dodoma #‎MakoleHexagon#‎MazichiReality na wengne wote Mnaoshiriki Vyema Kutupatia Habari, wakiwemo wana Familia Wa Mez B na Team nzima ya #‎ChembaSquard....Mazishi ya Ndugu yetu ni Juma Tatu.....Hopeful Kwa Mlio Dodoma Mnaendelea Kupata taarifa zaid kupitia  Boss Ngas Tz na 97.7 Nyemo Fm,vile vile kwa mlio mbali basi ndo tunajuzana kama hivi!!!
NOTE: Marehem Mez B amefariki Nyumbani kwao, asubuh saa tano, mara baada ya kuomba aandaliwe chai,hvyo wakati ndgu yke anamuandalia chai,anaingia ndani hv, kutoka nje anamkuta Mez B kakakamaa na Tayari alkua Ameshafariki!!…..!
R.I.P MEZ B.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI