Sunday, February 22, 2015

AMBER ROSE AMJIBU KANYE WEST: ALIPOOGA MARA 30 ILI KUWA NA KIM BAADA YA KUACHANA NAYE

 
KWENYE mahojiano na kipindi cha ‘BreakFast Club’ Kanye West alimkejeli mpenzi wake wa zamani Amber Rose kwa kusema alibidi aoge mara 30 baada ya kuwa naye ili Kim kardashian awe naye.
Kanye West alisema “Kim k angekubali kuwa na mimi kabla ya Amber basi nisinge kuwa na Amber Kabisa, ni ngumu kwa mwanamke kuwa na mwanaume aliyewahi kuwa na mahusiano na Amber, nilibidi nioge mara 30 ili Kim K anikubali”.
Amber amejibu kupitia twitter yake nakusema …

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI