Wednesday, December 31, 2014

RAYUU AANIKA UKWELI KUHUSU PICHA ZAKE ZA KIMAHABA ZILIZOGAA MTANDAONI JANA! *PICHAZ*

Msanii wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’.
MSANII wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amezua gumzo baada ya picha zake zinazomuonesha akiwa chumbani na mwanaume kuenea mtandaoni, hukukijana huyo akionekana kujichora tatoo yenye jina la mwanadada huyo.
Kijana huyo aliyefahamika kwa jina moja la Brown hakuweza kupatikana ili kuthibitisha uhusiano wake na mrembo huyo, lakini Rayuu alikiri kuwa ingawa picha iliyowekwa mtandaoni ilionyesha wakiwa kikazi zaidi, huyo ni mpenzi wake wa siku nyingi.
Hizo picha ni sehemu ya vipande vya kwenye wimbo wa huyo mwanaume, ukweli ni mpenzi wangu wa siku nyingi na anataka kunioa, ndiyo maana kafikia hatua ya kujichora jina langu, sina kipingamizi, tunaomba Mungu atufanikishe tufunge ndoa,” alisema.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI