NYUMBANI KITAIFA

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BIASHARA

Ulimwengu wa habari.

MATAIFA MENGINE

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BURUDANI

Ulimwengu wa habari.

MAAJABU DUNIANI

Ulimwengu wa habari.

Wednesday, December 31, 2014

ALI KIBA AFUNGUKA: AWATUPIA LAWAMA MASHABIKI KWA UBOVU WA VIDEO YAKE *VIDEO*

  Hatimaye Alikiba ameamua kuwajibu baadhi ya wapenzi wa muziki walioikosoa video ya wimbo wa ‘Mwana’ wanaodai kuwa haiendani na kile kinachoimbwa. Akizungumza na 255 ya XXL ndani ya Clouds FM, Alikiba amesema alichokifanya alimaanisha hivyo kuleta picha mpya kwenye vichwa vya watu. “Utofauti wa video ndio uzuri wake kwa sababu kila mtu kwenye mind yake amejenga video, ame-create video itakuwa vipi,” amesema. Kwa sababu...

SAMFROD MEDIA WISHES YOU, HAPPY NEW YEAR *VIDEO*

SAMFROD Media ambao ndio wamiliki wa mtandao huu wanakutakia kheri na baraka katika mwaka huu wa 2015. Tafadhali endelea kuwa nasi na kutumia huduma zetu. HAPPY NEW YEAR TANZANIANS!...

IFAHAMU NYUMBA YA KIFAHARI ANAYOIMILIKI MSANII LADY JAY DEE, HUMO NDANI NI SHIDAAAAH.. *PICHAZ*

LADY jay dee ni msanii mkongwe sana na mwenye maendeleo makubwa pia ameweza kulinda heshima yake tangu kipindi anaanza mpaka hii leo, muziki umeweza kumpatia mafanikio makubwa ikiwemo kupata tuzo kibao kimataifa na kimataifa, mbali na hilo pia jay dee anamiliki band inayoitwa machozi bendi, naa pia mgahawa wa kisasa unaoitwa nyumbani lounge, hii leo tunkuletea exclusive picha ya nyumba ya kifahari anakokaa mwanadada huyo, Picha...

KUMBE T.B JOSHUA ALITABIRI KUPOTEA KWA NDEGE YA AIRASIA QZ8501 YA INDONESIA... USHAHIDI WA VIDEO HUU HAPA!

NABII T.B. Joshua mapema leo kupitia YouTube channel yake inayojulikana kwa jina la Emmanuel TV ametoa video akionyesha utabiri wake kuhusu kupotea kwa ndege ya indonesia  AirAsia  8501 kwenye Video hiyo haya ni baadhi ya maneno yake na nukuu  "I have a message for the nation, Indonesia,” Joshua is seen telling congregants in the video. “When it comes to this disaster issue, I don’t want to mention it,” “It looks so nasty...

VANESSA MDEE AWATOA KIMASOMASO WASANII WA KIKE BONGO

Mwanadada anayefanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee. ****** MWANADADA anayefanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee kwa mara ya kwanza amewatoa kimasomaso wasanii wa kike Bongo kwa kutwaa tuzo ya kimataifa za All Africa Music Awards ‘AFRIMA’ nchini Nigeria. Akizungumza na paparazi wetu Vanessa ambaye amepata tuzo ya Msanii Bora wa Kike Afrika Mashariki alisema anawashukuru mashabiki kwa kuwa wameonesha moyo...

KUMBE JAY Z NDIYE ALIYEMTOA BIKRA BEYONCE.. MPWA WAKE AVUJISHA SIRI.. SOMA HAPA..!

TAARIFA za staa Jay Z  ambazo zinasambazwa na Mpwa wake kuwa alitelekeza familia yako baada ya kuwa na mahusiano na Beyonce. Kwenye tweets ambayo hiyo akaunti imefungwa sasa, Ndugu huyo wa Jay Z alikaririwa kwenye moja ya tweets zake akisema akimlaumu ndugu yake kuwa alidata kwa kuwa ndiye alimvunja bikra Beyonce hii ni moja kati ya tweets zake. You changed man. Your life ain't the same since that bitch came in. Now you think your family...

BI. FATMA SALIM AZINDUA VITABU VYAKE VITATU VYA SIMULIZI ZA KALE *PICHAZ*

Mtunzi mkongwe wa vitabu Zanzibar Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) akionyesha vitabu vya hadithi za kale alivyovitunga, katika sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo zilizofanyika nyumbani kwake Chukwani Zanzibar. Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo wakimskiliza Bi. Fatma Jinja (hayupo pichani) alipokuwa akitoa maelezo juu ya utunzi wa vitabu hivyo . Waandishi wa Habari wakifanya mahojiano na mtunzi wa vitabu...

WEMA AFUNGA MWAKA KWA KILIO *PICHAZ*

 Mkali katika tasnia ya filamu Bongo, Wema Sepetu ‘Madam akilia huku akibembelezwa na shost yake Aunt Ezekiel. ************ OHOOOO! Wakati pazia la mwaka 2014 likifungwa leo, mama la mama, Wema Sepetu ‘Madam’ ameuaga mwaka huo kwa staili ya kilio cha nguvu, mchapo hatua kwa hatua huu hapa...  Tukio hilo lililozua maswali mengi bila majibu, lilitokea usiku wa kuamkia Desemba 29, mwaka huu kwenye shoo ya Madam ya kuuaga mwaka 2014 (Say...

UNAAMBIWA DIAMOND PLATNUMZ NA ZARI 'THE BOSS LADY' NDIO KIM NA KANYE 'KINYE' WA AFRIKA *PICHAZ*

Kabla ya kukutana na Diamond Platnumz, Zari the Bosslady alikuwa tayari ni mwanamke maarufu nchini Uganda. Utajiri na urembo wake ulimfanya aitwe Kim Kardashian wa Uganda. Zari anamiliki msululu wa magari ya kifahari yakiwemo Range Rovers, Bentley, Limousine, Mercedes Benz, Chrysler na mengine ambapo mengi kati yake yana plate number za jina lake. Anamiliki mijengo kibao pamoja na biashara mbalimbali kikiwemo chuo kikubwa kilichopo nchini...

RAYUU AANIKA UKWELI KUHUSU PICHA ZAKE ZA KIMAHABA ZILIZOGAA MTANDAONI JANA! *PICHAZ*

Msanii wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’. MSANII wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amezua gumzo baada ya picha zake zinazomuonesha akiwa chumbani na mwanaume kuenea mtandaoni, hukukijana huyo akionekana kujichora tatoo yenye jina la mwanadada huyo. Kijana huyo aliyefahamika kwa jina moja la Brown hakuweza kupatikana ili kuthibitisha uhusiano wake na mrembo huyo, lakini Rayuu alikiri kuwa ingawa picha iliyowekwa mtandaoni ilionyesha...

YAFAHAMU MATUKIO MAKUBWA YALIYOITIKISA TANZANIA 2014 *PICHAZ*

Msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akiwa na mshindi wa shindano la Big Brothers Idris. MWAKA 2014 unafikia tamati leo. Kwa Watanzania, kuna matukio mbalimbali yaliyojitokeza ambayo yameacha kumbukumbu kubwa kwao. Hata hivyo, yafuatayo ndiyo mambo yaliyotia fora zaidi. Viungo vingi vya binadamu vikiwa vimetupwa katika machimbo ya kokoto yaliyopo Bunju, Dar. VIUNGO VYA BINADAMU VYASHTUA  Jumatatu ya Julai 21, 2014, nchi ilipatwa...

MMMH: WEMA SEPETU NA EX WA ZARI 'IVAN' KUNAAANIII???

HIVI Karibuni Wema Sepetu alimuomba urafiki katika mtandao IVAN ambaye ni ex wa Zari 'The Boss Lady' baada ya kuanza kwa kulike picha ya mkaka huyo…. Mmmmmh! Kwa nnavyohisi hii ni couple nyingine in town…!  Yetu Mach...

DIVA ANAYESUMBUA KWA SHAPE BONGO MOVIE WELLU A.K.A 'MATILDA' ATUNDIKWA UJAUZITO

Msanii wa filamu Bongo mwenye shepu ya hatari sana, Wellu Sengo, ‘Matilda’. (Wapili toka kushoto) ****** IMEVUJA! Msanii wa filamu Bongo, Wellu Sengo, ‘Matilda’, licha ya kuwa na mtoto mdogo ambaye hajafikisha hata mwaka, inadaiwa tayari amenasa ujauzito mwingine. Chanzo makini kinaeleza kuwa ujauzito huo ni wa mmoja wa wasanii wenye majina maarufu hapa nchini, ambao wamekuwa katika uhusiano kwa muda mrefu sasa. Katika mawasiliano kwa njia...

ICHEKI EXCLUSIVE VIDEO YA VANESSA MDEE FT. BARNABA, AIKA, NAHREAL, AVID - WCD

...

SOMA WALICHOJADILI MASHABIKI KUHUSU VIDEO YA ALIKIBA ‘MWANA’, KUHUSU VIDEO KUTOFUATA NA MAUDHUI YA WIMBO

WIKI moja baada ya video ya Alikiba ‘Mwana’ iliyofanyiika Afrika Kusini na kuongozwa na Godfather, itoke, kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na video hiyo. Baadhi yao wameonekana kuifurahia na wengine wameonekana kutoridhishwa na baadhi ya vitu. Baadhi ya waliotoa maoni wamesema kuwa walitegemea kuona video yenye script inayoendana na maudhui ya wimbo ili kumuwezesha hata mtu asiyejua kiswahili kuweza angalau kuelewa kwa kutazama vitendo, huku...

ZILIZOSOMWA ZAIDI