Thursday, July 31, 2014

IYANYA AWASHUSHIA UJUMBE MZITO WIZKID NA DAVIDO JUU YA BEEF YAO!

Iyanya atoa ushauri kwa Wizkid na Davido kuhusu beef kati yao
Ingawa wawili hao waliwahi kuonekana katika picha ya pamoja na kutoa ishara ya kumaliza tofauti zao, bado maandishi yao yanaonekana kuwa mwiba kwa kila mmoja.
Mkali wa Kukere ameamua kutoa ushauri wake kwa wasanii wa Nigeria, ushauri ambao unaonekana kumwagusa moja kwa moja Wizkid na Davido ingawa hakuwataja majina.
“Acheni kuongea!!! Tuachie muziki zaidi!!! Tuwaburudishe mashabiki!!! Acheni chuki!!! Maombi yangu ni kwamba wote tufanikishe.”
 

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI