NYUMBANI KITAIFA

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BIASHARA

Ulimwengu wa habari.

MATAIFA MENGINE

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BURUDANI

Ulimwengu wa habari.

MAAJABU DUNIANI

Ulimwengu wa habari.

Wednesday, May 29, 2013

FILAMU MPYA YA KITANZANIA

...

NYIMBO MAALUMU KWA WENYE FISTULA

...

KIPAJI TOKA UGANDA, GOLDIE FT NAVIO!!

...

MTAZAME MAREHEMU NGWEAR KATIKA CLIP HII

...

BINGWA WA FREESTYLE, ALBERT MANGWEAR ALIVYOZIMA GHAFLA

IKIWA ni siku nyingine tena ambapo taifa hili limekuwa likizidi kupoteza wanamuziki na wasanii wengine wa sanaa mbalimbali, lakini leo majonzi yamewakuta wapenzi wa muziki wa kizazi kipya Almaarufu BONGO FLEVA kwani rapper maarufu ALBERT KENETH MANGWEHA alilipotiwa kufariki dunia huko Afrika Kusini, katika hospital ya St. Hellen huku chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika vizuri.    kijana huyu mwenye asili ya mkoa wa ruvuma,...

Nay wa mitego Ft. Diamond platnumz - Muziki gani (official video)

...

Thursday, May 9, 2013

KIFUNGO CHA NJE MWAKA MMOJA CHAMKABILI SHEIKH PONDA

Akiteta jambo na baadhi ya watu! Akihojiwa na mmoja wa waandishi wa habari! Mhadhiri Maarufu wa Kiisilamu Sheikh Habibu Mazinge (suti nyeusi) akimlaki Sheikh Ponda mara baada ya kuachiwa huru. Ponda akizungumza na waandishi wa habari. "Kuna utaratibu umeandaliwa na jumuiya na taasisi za kiisilamu Tanzania tutawaita tutazungumza kwa pamoja lakini kikubwa ninachoweza kusema kwamba tumeshuhudia uonevu na dhulma tunayofanyiwa waisilamu...

MASHARTI 5 WALIOPEWA WANAFUNZZI WA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA (I.A.A) ILI WARUDI CHUO

...

Wednesday, May 8, 2013

MHE. RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOWATEMBELEA WAHANGA WA BOMU JIJINI ARUSHA

...

Friday, May 3, 2013

MFAHAMU SUPER STAR ANAYECHIPUKIA KATIKA TASNIA YA FILAMU NCHINI, NI MTOTO WA 'CHUCHU HANSI'

Farihiya katika pozi Farihiya akiwa katika scen na chek budy Kwa hakika waswahili husema mtoto wa nyoka ni nyoka na simba hawezi kuzaa swala hili limejidhihirisha wazi kwa mtoto Farihiya mwenye kipaji cha ajabu na anakuja kukimbiza vilivyo katika soko la filamu Tanzania Mtoto huyu ambaye ni mtoto wa kwanza wa msanii wa filamu nchini chuchu hansi ameonyesha kumrithi na pengine kuja kumzidi mama yake mzazi kwa jinsi alivyoonyesha...

WEMA: ''BABA NAYE YUMO MTANDAONI, MMEMWONA?''

  Wema akiwa na mzee Sepetu, pamoja na mtu wake wa karibu Hii imetokea kupitia mtandao wa Instagram, Wema aliamua kutupia picha akiwa na baba yake mzazi, mzee Sepetu, huku pembeni akiwepo mtu wake wa karibu....

ZILIZOSOMWA ZAIDI