Monday, October 29, 2012

HONGERA DKT. AYOUB RIOBA


Dkt. Ayoub Rioba akihutubia muda mfupi baada ya kutunukiwa shahada ya udaktari wa falsafa (PHD) katika fani ya falsafa ya jamii chuo kikuu cha Tampere katika jiji la Tampere, Finland.
Hapa Dkt. Ayub Rioba (University of Dar es salaam - School of Journalism and Mass Communication) Kushoto, Prof Kaarle Nordenstreng (University of Tampere, Finland) Katikati, Prof. Audrey Gadzekpo (Accra University, Ghana) mwishoni kulia. Dkt. Rioba alikuwa akijibu maswali kutokana na utafiti wake wa 'Media Accountability in Tanzania's Multiparty democracy; Does self regulation work?'
Kutoka kushoto Prof Kaarle Nordenstreng, University of Tampere Finland  pamoja na Prof Audrey Gadzekpo akiongoza mchakato wa kumtunukia falsafa ya udaktari Ayub Rioba. (Picha zone na  PAULA PAUKKU)

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI