Friday, January 6, 2017

UJUMBE WA SAMATTA ALIOMUANDIKIA NDINDI BAADA YA KUTUA LEICESTER CITY

Mbwana Samatta akiwa na Ndidi katika timu ya KRC Genk
Nahodha wa timu ya taifa Tanzania (Taifa Stars), Mbwana Samatta ambaye anacheza katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji amemuandikia ujumbe wa kumtakia kila la kheri mchezaji mwenzake Wilfred Ndindi ambaye amesajiliwa na Leicester City ya Uingereza.
Kiugo huyo wa zamani wa Genk alitambulishwa rasmi na mabingwa hao watetezi wa taji la ligi Kuu Uingereza akiwa kama mbadala sahihi wa Ng’olo Kante aliyejiunga na Chelsea mwanzoni mwa msimu huu.
Imedaiwa kuwa mchezaji huyo amesajiliwe kwa dau la Paundi milioni 15.
Huu ndio ujumbe wa Samatta alimuandikia mchezaji huyo

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI