Thursday, December 29, 2016

KUTANA NA MWANAMUZIKI WA BONGO ANAYETAMANI KUMUOA RAPPER WA KIKE CHEMICAL

RAPPER Stereo amedai kuwa anatamani rapper Chemical aje kuwa mke wake wa ndoa.
Stereo amesema Chemical ambaye jina lake halisi ni Claudia Lubao ni msichana anayemzimia kupita maelezo. Ameamua kufungua moyo wake kwenye mahojiano na mtangazaji wa CG FM ya Tabora, Manoni MJ wa Pili.

“Nadhani tukioana tutakuwa na familia hivi ya aina yake,” alisema Stereo na kuongeza kuwa bado hajamweleza Chemical takwa la moyo wake.

“Mimi nampenda Chemical kuliko mnavyofikiria,” amesisitiza rapper huyo.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI